Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una maudhi sana wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemuuliza tuu jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una maudhi sana wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongereni sana kwa kuwa na wachezaji 12!!Hongereni kwa kuambulia walau sare.
Onyesha makosa ya adhabu ya refa.Refa 1 + simba 1=malizia
atamuongeza nani wakati fraga na shiboub hatabsub hawakuwepo mkude alipoteaYale magoli ya Yanga Kakolanya asingefungwa ....lakini coach yuko slow kubadili mbinu. Kuna muda kiungo yetu ilikufa alipaswa kubadili mbinu au wachezaji haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa kazingua Sanaa lakn itatupa funzo kutoingia na Matokeo mfukon na kujiamini kupita kias kucheza uku tumemzarau Yanga ni kosa kubwaMkuu mwenyewe nimeumia sana na haya matokeo, sijui kama nakosea ila sina Iman siku zote na Aishi Manula.
Leo huyu guluguja ameonekana live alichokifanya. Penati ya nje ya box.Wazee wa kununua mechi
Leo wameona wamnunue refa akawapa penati
Seal team a.k.a citizen team Yanga wakaafanya comeback kama Rambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Manula akipangwa gemu yoyote ya Simba siendi Uwanjani tenaa shenzi kabisaaaa
Uongo Dhambi leo Yanga mpira wameucheza Kuanzia Beki Line,Kiungo na Team work ya hali ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Onyesha makosa ya adhabu ya refa.
Penati kick ni sheria namba 14 ya mpira wa miguu
😜😜ila mkuu hongeren maana tulikuja na Matokeo mfukon mmetuumbua sijui ntaambia nn majiran