Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,557
- 7,160
Tulia dawa ikuingie.
Moja la heshima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dawa ikuingie.
Yaani sijui imekuwaje leo kwa hawa vyuraSimba hawana nguvu tena
kelphin kepph
Naam mamaYanga 2,Refa 1, Simba 1.Yanga jamani tumalize kazi hawa mikia siyo saizi yetu.
Mtajijua wenyewe..Sisi bado tunaongoza ligiYanga 2,Refa 1, Simba 1.Yanga jamani tumalize kazi hawa mikia siyo saizi yetu.
Yaani wamshukuru Refa.ila kihahali tumewafunga nyumbu hawa na Manala wao .Mshukutuni refa maboya nyie bi hindu
Manina galagadacha
Shwain
Yanga ni makonk daima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni sawa na ile Man U kuchukua point moja kwa Liverpool wakashangilia kama wamechukua ubingwaMmamammaamee tumewashinda Simba na goal lao la Refa.Yanga 2,Simba 1,Refa 1.
Yanga tumeshinda,hilo goal la penalt ni la refa.Yanga 2, simba 1Yanga wanashangilia draw, inaonyesha nikiasi gani wanavyoiogopa Simba mnyama
Kwa sababu Simba wanacheza 12 uwanjaniYanga wanashangilia draw, inaonyesha nikiasi gani wanavyoiogopa Simba mnyama
Manula akipangwa gemu yoyote ya Simba siendi Uwanjani tenaa shenzi kabisaaaaManula kaniuza