Tetesi: Kariakoo Derby yawaleta Africain Bongo

Tetesi: Kariakoo Derby yawaleta Africain Bongo

beal

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
114
Reaction score
60
Uongozi wa Klabu ya Africain ya Tunisia umetuma mashushu ili kuja kuangalia mechi kati ya Yanga na Simba itakayofanyika siku ya tarehe 23 Oktoba. Wataalamu hao wa kusoma mchezo yaani 'match analysts', wanatarajiwa kushuka nchini siku ya Ijumaa na taarifa za ndani zinasema washapata tiketi kwa msaada wa mawakala wanaowapokea walioaminiwa na Ubalozi wa Tunisia.

Watunisia hao wameonekana kuipa umuhimu mechi hiyo ili wajitengenezee mazingira ya kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikisho kwa kishindo, hivyo Klabu ya Yanga inapaswa kuwa makini katika siku hiyo ya mechi yao dhidi ya Simba kwa kuficha baadhi ya mbinu zao.
 
Kila mtu anajiropokea tu,shibe Tanzania ni ya kutosha.
 
MAMA SAMIA NI WAKATI WA KUITANGAZA YANGA NI ADUI WA TAIFA[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Hivi kweli kuna timu inaweza kupoteza pesa na muda kutuma mashushushu wa kufatilia timu kibonde wa afrika kama utopolo ambayo tangu 2013 haijawahi kufunga timu yoyote ya nje?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
wewe timu ya nje tuliyoifunga sisi Yanga ni hii ya Sudan Zalan f.c timu kubwa na ngumu sana Africa.wewe jamaa vepee!
 
Hivi kweli kuna timu inaweza kupoteza pesa na muda kutuma mashushushu wa kufatilia timu kibonde wa afrika kama utopolo ambayo tangu 2013 haijawahi kufunga timu yoyote ya nje?
ZALANI?
 
Uongozi wa club ya Africain ya Tunisia umetuma mashushu ili kuja kuangalia mechi kati ya yanga na simba itakayofanyika siku ya tarehe 23 September, wataalamu hao wa kusoma mchezo yaani match analysts wanatarajiwa kushuka nchini siku ya ijumaa na taarifa za ndani znasema washapata tiketi kwa msaada wa mawakala wanao wapokea walioaminiwa na ubalozi wa Tunisia.

Watunisia hao wameonekana kuipa umuhimu mechi hiyo ili wajitengenezee mazingira ya kufuzu hatua ya makundi kombe la shirikisho kwa kishindo, hivyo club ya yanga inapaswa kuwa makini katika siku hiyo ya mechi yao dhidi ya simba kwa kuficha baadhi ya mbinu zao.
Hebu tupatie kwanza uzoefu wa mashushu wa Utopolo waliotumwa Sudan akiwemu shushu bonge ndugu Mwaka Lebe Lala
 
wewe timu ya nje tuliyoifunga sisi Yanga ni hii ya Sudan Zalan f.c timu kubwa na ngumu sana Africa.wewe jamaa vepee!
Hiyo Zalan ndio level ya Timu tulizokuwa tunajipima nguvu nazo kama Mbuni fc, Friends Rangers nk. Hao wengine kama akina Hilal na Africain ni kama mnatuchosha tu maana huko ni level zingine wala hatukujipima kucheza nazo.
 
MAMA SAMIA NI WAKATI WA KUITANGAZA YANGA NI ADUI WA TAIFA[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
giphy.gif
 
Uongozi wa club ya Africain ya Tunisia umetuma mashushu ili kuja kuangalia mechi kati ya yanga na simba itakayofanyika siku ya tarehe 23 September, wataalamu hao wa kusoma mchezo yaani match analysts wanatarajiwa kushuka nchini siku ya ijumaa na taarifa za ndani znasema washapata tiketi kwa msaada wa mawakala wanao wapokea walioaminiwa na ubalozi wa Tunisia.

Watunisia hao wameonekana kuipa umuhimu mechi hiyo ili wajitengenezee mazingira ya kufuzu hatua ya makundi kombe la shirikisho kwa kishindo, hivyo club ya yanga inapaswa kuwa makini katika siku hiyo ya mechi yao dhidi ya simba kwa kuficha baadhi ya mbinu zao.
Sa wana mbinu gani.za.kuficha 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa timu ipi? Labda wanakuja kuchukua dkk wanazokimbia kimbia uwanjani wajue ni vipi watawatega waanguke waache kuzunguka uwanja hovyo.
 
Hiyo Zalan ndio level ya Timu tulizokuwa tunajipima nguvu nazo kama Mbuni fc, Friends Rangers nk. Hao wengine kama akina Hilal na Africain ni kama mnatuchosha tu maana huko ni level zingine wala hatukujipima kucheza nazo.
Shida ni ji eseimu,kaingiza timu yetu kwenye mikataba mingi hewa ili kuridhisha mshabiki waone Yang yetu ipo level sawa na Simba kumbe hola.
 
Back
Top Bottom