Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,532
- 1,118
ππππNimependa Username yako mkuu, japo yangu inamaanisha jambazi kuu ila huyo mwamba namkubali
From 1 villain to another π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππNimependa Username yako mkuu, japo yangu inamaanisha jambazi kuu ila huyo mwamba namkubali
From 1 villain to another π
Vipi mkuu uliponaMashamba yao au ya kwenu?
ππππππDaaah πππππππAisee nachukia sana matapeli.
Wenye maduka yao Kariakoo muwe na utaratibu mzuri. Sio nafika dukani nakuta madalali kibao utafkiri wasanii wapo kupakwa mafuta kwa Dee.
Mimi nikikuta dukani kuna watu zaidi ya wawili sinunui kitu alafu naenda kupublish mtandaoni, duka fulani wamenitapeli
Kupona nn?Vipi mkuu ulipona
Ile issue ya pilauKupona nn?
Winga maana yake nini
Kwa hyo nchi hii tuite wingaa nation πHao masalange wamejaa kila kona. Uhaba wa kazi umesababisha yote haya.
Kuna wale wanaokaa vituo vya mabasi. Yani abiria unaamka asubuhi una ratiba ya kwenda sehem flani na ofisi za kukatia ticket unafaham zilipo lakini ghafla ukifika stand unakutana na jopo la vijana wa hovyo wanakuvuta vuta na kukuuliza maswala wakitaka kujua unapoenda ili wajifanye wamekupeleka wao ofisi za basi husika wapate ganji. Miyeyusho kinoma.