Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

Aisee nachukia sana matapeli.

Wenye maduka yao Kariakoo muwe na utaratibu mzuri. Sio nafika dukani nakuta madalali kibao utafkiri wasanii wapo kupakwa mafuta kwa Dee.

Mimi nikikuta dukani kuna watu zaidi ya wawili sinunui kitu alafu naenda kupublish mtandaoni, duka fulani wamenitapeli
😁😁😁😁😁😁Daaah πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Winga maana yake nini
1729296789686.png
 
Hao masalange wamejaa kila kona. Uhaba wa kazi umesababisha yote haya.

Kuna wale wanaokaa vituo vya mabasi. Yani abiria unaamka asubuhi una ratiba ya kwenda sehem flani na ofisi za kukatia ticket unafaham zilipo lakini ghafla ukifika stand unakutana na jopo la vijana wa hovyo wanakuvuta vuta na kukuuliza maswala wakitaka kujua unapoenda ili wajifanye wamekupeleka wao ofisi za basi husika wapate ganji. Miyeyusho kinoma.
Kwa hyo nchi hii tuite wingaa nation πŸ˜„

Ova
 
Back
Top Bottom