Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Una mock up yake hapo?Time will tell ..unless hujui kitu gani kinajengwa ubungo
Bongo hii hakijawah kutengenezwa kitu kikafika levo ya expectation iliyowekwa kwa wananchi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mock up yake hapo?Time will tell ..unless hujui kitu gani kinajengwa ubungo
Hauwezi Isha hata hao wachina kariakoo wapo Ila ukifika huongei nao Tena wanakwambia ongea na Yulee...hao wauzaji wa LANGO wao wanachukua wapi mzgo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishangaa duka moja, wakati nina-bargain na mmoja wa wauzaji mwingine pembeni naye ananiitia kwake!
Nimependa Username yako mkuu, japo yangu inamaanisha jambazi kuu ila huyo mwamba namkubali
Kariakoo imejaza matapeli wengi sana ambao kimsingi wanaharibu biashara. Serikali ikitaka kuweka hadhi nzuri ya hili soko, ikiwa ni pamoja na kuvutia nchi wateja wa nchi jirani kufuata mizigo hapo, ibane hawa mawinga wakanye mambo mengine ya maana.Ahaa! Kumbe ipo hivyo. Nilishangaa bei ya electronics Kariakoo inataka kufanana na ya mikoani. Labda Kariakoo brands ni nyingi kuliko maduka ya mikoani. Pia, nilienda Karume kutafuta kiatu cha mpira cha mtumba almaarufu Six, bei ya chini walikomaa elfu 90. Nikaja mkoani nikapata kwa elfu 45 tena kikali kuliko vya Karume
Kweli kabisa mkuuKariakoo imejaza matapeli wengi sana ambao kimsingi wanaharibu biashara. Serikali ikitaka kuweka hadhi nzuri ya hili soko, ikiwa ni pamoja na kuvutia nchi wateja wa nchi jirani kufuata mizigo hapo, ibane hawa mawinga wakanye mambo mengine ya maana.
Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Je hata kwa PC moja napata kwa jumla? AuAnaetaka electronic bei za jumla njoo pm.
Bei mserereko Hadi ushangae
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisaa kiongozi.Aisee nachukia sana matapeli.
Wenye maduka yao Kariakoo muwe na utaratibu mzuri. Sio nafika dukani nakuta madalali kibao utafkiri wasanii wapo kupakwa mafuta kwa Dee.
Mimi nikikuta dukani kuna watu zaidi ya wawili sinunui kitu alafu naenda kupublish mtandaoni, duka fulani wamenitapeli
tunakujaAnaetaka electronic bei za jumla njoo pm.
Bei mserereko Hadi ushangae