Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ya vijijiMashamba yao au ya kwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya vijijiMashamba yao au ya kwenu?
Kijij gan kina mashamba ya bure?Ya vijiji
Ila wewe unaniachaga hoi sana😁Huyu hajasema anataka auze sim za aina gani na anataka za biashara au lah. Nisije mwagika madini hapa kumbe anataka sim moja na kashanunua
NakufuataAnaetaka electronic bei za jumla njoo pm.
Bei mserereko Hadi ushangae
Unaenda dukani mmiliki ana kaa pembeni anamuachia wingaTz kuna upuuzi na ushamba sana ktk biashara... Ndio maana wafanyabiashara WaTz wanafirisika au wanafirisiwa na banks... Mtu ana biashara yake ya kawaida tu ila bidhaa anawaachia madalali wauze...
Ukitaka usipigwe bei fanya kwanza window shopping au peruzi ktk mitandao kujua bidhaa husika inauzwa bei gani ili ukienda dukani usiibiwe
Sehemu ambayo vitu vinakua inflated kwa asimilia 1000% ni karume aisee.......ukitaka kitu nenda masoko mengine kama Tandika,Ilala,Tandale etc ila sio KARUME,..........kitu kinauzwa pale mwanza lango elfu 40 karume kinauzwa laki na 20 na hakuuzii chini ya hapo,.......kasumba imeatawala wafanyabiashara kua karume Kuna pesaAhaa! Kumbe ipo hivyo. Nilishangaa bei ya electronics Kariakoo inataka kufanana na ya mikoani. Labda Kariakoo brands ni nyingi kuliko maduka ya mikoani. Pia, nilienda Karume kutafuta kiatu cha mpira cha mtumba almaarufu Six, bei ya chini walikomaa elfu 90. Nikaja mkoani nikapata kwa elfu 45 tena kikali kuliko vya Karume
Hatari sana, wajanja wengi mjiniHapo Kariakoo udalali ni mwingi sana
Watu hawajui.. Facebook ndo mtandao wa kujua bei halisiSehemu ambayo vitu vinakua inflated kwa asimilia 1000% ni karume aisee.......ukitaka kitu nenda masoko mengine kama Tandika,Ilala,Tandale etc ila sio KARUME,..........kitu kinauzwa pale mwanza lango elfu 40 karume kinauzwa laki na 20 na hakuuzii chini ya hapo,.......kasumba imeatawala wafanyabiashara kua karume Kuna pesa
Hauwez kuondoka kirahis huu. Jobles wote kazi zao za kwqnza ndo hizo za uwinga.Ubungo ndiyo itakuja kuondoa huu ujinga..
mchina wa ubungo atarudisha hawa wapuuzi mikoani wakalime. Ni swala la muda tu.Ubungo ndiyo itakuja kuondoa huu ujinga..
hao wauzaji wa LANGO wao wanachukua wapi mzgo?Sehemu ambayo vitu vinakua inflated kwa asimilia 1000% ni karume aisee.......ukitaka kitu nenda masoko mengine kama Tandika,Ilala,Tandale etc ila sio KARUME,..........kitu kinauzwa pale mwanza lango elfu 40 karume kinauzwa laki na 20 na hakuuzii chini ya hapo,.......kasumba imeatawala wafanyabiashara kua karume Kuna pesa
Watu hawajui.. Facebook ndo mtandao wa kujua bei halisi
ni kweli kabsa facebook n sehem ya kujuwa bei halisi ya bidhaa.Watu hawajui.. Facebook ndo mtandao wa kujua bei halisi
Facebook kibaishara ndo mtandao unaolipa zaidi kuliko jf. Sijajua Instagram mana naona ukifanya kibiashar kule unatakiwa uwe advanced kidogo. Ila Facebook ina watu makini sana yani very serious na maisha halisini kweli kabsa facebook n sehem ya kujuwa bei halisi ya bidhaa.
huwa nashangaa humu jamiiforum kuna watu wanasemaga eti watumiaji wa Facebook ni washamba. hua najisemea ihiiiiiii😳😳
Mostly Uganda,hata mitumba yao ni classic,general Kanda ya ziwa mitumba mingi ni classic na Bei ya kawaida mnohao wauzaji wa LANGO wao wanachukua wapi mzgo?