Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

Vijana wengi wanakosea na wanabadilisha maana ya biashara kuwa utapeli, hata humu unakuta mtu ana comment kuwa jamaa kaja kichwa kichwa kwani biashara inataka kufanywa na watu walio wajanja wajanja tu au wahuni? Ndio maana kuna platform za matangazo ili kuwahabarisha hata waliokuwa hawana ufahamu na bidhaa fulani waipate kulingana na matakwa yake na ubora na sio UJANJA WAKE...Ukienda madukani hadi kero..mie nimetimua vijana wa hivyo sana ninataka ueledi and good customer care..sio ujanja na utapeli.
 
Vijana wengi wanakosea na wanabadilisha maana ya biashara kuwa utapeli, hata humu unakuta mtu ana comment kuwa jamaa kaja kichwa kichwa kwani biashara inataka kufanywa na watu walio wajanja wajanja tu au wahuni? Ndio maana kuna platform za matangazo ili kuwahabarisha hata waliokuwa hawana ufahamu na bidhaa fulani waipate kulingana na matakwa yake na ubora na sio UJANJA WAKE...Ukienda madukani hadi kero..mie nimetimua vijana wa hivyo sana ninataka ueledi and good customer care..sio ujanja na utapeli.
Umenena vyema mkuu
 
Dar inashangaza
Tunatoka mbali kuchukua mizigo kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu
Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara
Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa
Kariakoo acheni uhuni
Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Dar ajira ngumu
 
Ahaa! Kumbe ipo hivyo. Nilishangaa bei ya electronics Kariakoo inataka kufanana na ya mikoani. Labda Kariakoo brands ni nyingi kuliko maduka ya mikoani. Pia, nilienda Karume kutafuta kiatu cha mpira cha mtumba almaarufu Six, bei ya chini walikomaa elfu 90. Nikaja mkoani nikapata kwa elfu 45 tena kikali kuliko vya Karume
sku moja nlikua natafuta sweta, kufika karume naambiwa sweta elfu 10. nikaghairi sku inayofata nikaenda moshi nkakuta sweta la aina ile ile wanauza elfu 5, nlishangaa sana.
 
Dar inashangaza

Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.

Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa.

Kariakoo acheni uhuni.

Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Wapumbavu sana, mimi nikifika dukani huwa nauliza " Muuzaji hasa ni yupi?

Wanachukia na kuongea ongea oooh we taja bei yako, nawaambia nataka kuongea na mwenye duka....
 
Dar inashangaza

Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.

Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa.

Kariakoo acheni uhuni.

Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Mambo ya hovyo sana na kero tupu.
 
Hao masalange wamejaa kila kona. Uhaba wa kazi umesababisha yote haya.

Kuna wale wanaokaa vituo vya mabasi. Yani abiria unaamka asubuhi una ratiba ya kwenda sehem flani na ofisi za kukatia ticket unafaham zilipo lakini ghafla ukifika stand unakutana na jopo la vijana wa hovyo wanakuvuta vuta na kukuuliza maswala wakitaka kujua unapoenda ili wajifanye wamekupeleka wao ofisi za basi husika wapate ganji. Miyeyusho kinoma.
Mambo ya hovyo sana na kero tupu.
 
Mada kama hizi akijibu Rayns au Mpaji Mungu huwa nacheka sana😂
Aisee nachukia sana matapeli.

Wenye maduka yao Kariakoo muwe na utaratibu mzuri. Sio nafika dukani nakuta madalali kibao utafkiri wasanii wapo kupakwa mafuta kwa Dee.

Mimi nikikuta dukani kuna watu zaidi ya wawili sinunui kitu alafu naenda kupublish mtandaoni, duka fulani wamenitapeli
 
Back
Top Bottom