mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 7,938
- 17,729
NakubaliAnaetaka electronic bei za jumla njoo pm.
Bei mserereko Hadi ushangae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakubaliAnaetaka electronic bei za jumla njoo pm.
Bei mserereko Hadi ushangae
Nawanajua kila kitu na wanafanya maisha kuwa mepesi sana.Huko TRA nasikia kuna watu wanavaa mpaka suti kumbe wala si wafanyakazi. Ukimkuta unaweza dhani ndo meneja wa mkoa.
Dalali wa mchongoWinga maana yake nini
Hawa inaonekana hawadhibitiki.Kumbe wapo kila sehemu
Si wakati wote halafu yanakuwa mepesi kwa wenye pesa kisha wanafanya huduma kuwa ghali..Nawanajua kila kitu na wanafanya maisha kuwa mepesi sana.
Kwa rejareja je?Anaetaka electronic bei za jumla njoo pm.
Bei mserereko Hadi ushangae
Acha na wao wale kwa urefu wa kamba zaoVijana wamejiajiri
Nyumba NHC fremu sio bei Kali ila shida ndio Kwa hao watu wa kati yeye amechukua fremu analipia NHC Kodi laki Moja alafu ana ipangasha Kwa laki 6Hiyo ni Kwa sababu Kodi ya pango kariakoo ni kubwa sana.kumudu peke Yako Kwa wanaoanza biashara ni ngumu ndiyo maana umeona duka Moja watu watano au zaidi ili kuchangia kulipa Kodi ya nyumba.siyo kama ngara ambako Kodi ni laki Moja Tena palipo na mzunguko mkubwa wa pesa.
BIASHARA NI KUUZA NA KUNUNUA,BIASHARA NI KUJUA WASICHOJUA WENZIO,MAANA NYINGINE NI SIRI,WEWE KUJA DAR LAZIMA MWANZO UPIGWE,KKO KUNA MADUKA YA JUMLA NA REJAREJA SASA WEWE KAMA ULIINGIA DUKA LA REJAREJA UKATAKA BEI RAHISI HAIWEZEKANI,Dar inashangaza
Tunatoka mbali kuchukua mizigo kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu
Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara
Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair kabisa
Kariakoo acheni uhuni
Ka frem kadogo wamejaa madalali zaidi ya 20 wanazidi hadi wateja
Unakuwa kama Elie MpanzuWinga maana yake nini
Tujuze mkuuKariakoo kuna machimbo ukiyajua machimbo umefanikiwa maish
Sawa mkuuKwa rejareja je?
😁😁😁😁 DahhAhaa! Kumbe ipo hivyo. Nilishangaa bei ya electronics Kariakoo inataka kufanana na ya mikoani. Labda Kariakoo brands ni nyingi kuliko maduka ya mikoani. Pia, nilienda Karume kutafuta kiatu cha mpira cha mtumba almaarufu Six, bei ya chini walikomaa elfu 90. Nikaja mkoani nikapata kwa elfu 45 tena kikali kuliko vya Karume