CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Kwahio ukitoa Pesa kwenye ATM usiku yale ni magazeti au kiini macho?Moto umeanzia mnadani na sio hapo ma ndo maana benki haijaguswa na moto, pia benki hazikai na pesa, pesa hupelekwa makao makuu na kurudishwa asubuhi
Kwani pale ni NEMC au Manispaa?Huyo afisa na NEMC aliyeruhusu kupokea rushwa na zile frem zijengwe muda huu ZUHURA YUNUS anaandaa PDF, hapaswi kuwa ofisini.
Tatizo ni siasa na wanasiasa.Kuondolewa kwa machinga hakuna uhusiano kwa soko.
Masoko yako mengi ila wanasiasa wanatumia kama wapiga kura wao.
Soko la magomeni lipo wazo , Machinga ipo wazi ila wamezoea kukaa nje na chini, hawataondoka hata kila mtaa kujengwe soko wataendelea kutumiwa na wanasiasa.
huu ni ugonjwa wa nchi zote maskini.
Kwanza umekurupuka, pale hakuna kituo cha mafutaHV Nani aliruhusu kituo Cha sheli kijengwe ktkt ya soko
Huu Ni upupambu Sana hiki tu ni kibaya Sana
I wish I could be a president Kuna watu wangetezeka mno
Sheli ktkt ya soko ,wangeenda kuweka karibu na ikulu Kama wao watataka
Japo Kariakoo itaendelea kuwepo kwa muda sana, Ubungo watahitaji kazi zaidiNgoja mchina afungue ubungo kko
Watabakia kupiga picha tu
Ova
Daah haya maisha mkiwa na vijisenti kidogo tuu mnadharau wengine maisha ni kutegemeana wanaoleta mizigo Bandarini wanawategemea hao wauzaji ni vile hii chain kuijua mpaka uwe umesoma shule zinazoeleweka sio za magumashi kariakoo ni sehemu ya watu kununua na kutoka inshort maeneo mengi Tanzania hayapo kwenye mfumo sahihi kutokana na ongezeko la watu na huduma kuendelea kuwa Duni...Yaani hao machinga wajinga wajinga wanaziba mpaka njia unawaita walipa kodi??? Yaani hao wanatakiwa wafukuzwe wote. Yaani haiwezekani hata kupita tu kariakoo eti bega kwa bega. Hivi nani ananunua hizo bidhaa. Siku ikitokea majanga mtasema. Wakifa hata watu mia tano au elfu kisa msongamani ndiyo mtakuja kusema eti serikali haijasaidia. Hao wajinga wote waondoshwe ili kariakoo ibaki peupe
InaumizaMITAJI YA WATANZANIA WENZETU INATEKETEA!
Una roho kubwa ya wivu na chuki kwa mafanikio ya wengineSafi sana yaani saana
Hauna akili wew upimwe nilishasema rudia kusoma comment za nyumaUna roho kubwa ya wivu na chuki kwa mafanikio ya wengine
Inaumiza na hapo watu wana mikopo bank 😭Daah mambo ya moto ni hatari sana aisee...life hii tena upoteze mtaji Mwenyezi Mungu awasimamie kwa kweli..
Mwenyewe huna akili, acha roho mbaya na maendeleo ya wengine, haiwezi kubadili chochote kwenye maisha yako km huna bidii ya kutafuta MxxiewwwwHauna akili wew upimwe nilishasema rudia kusoma comment za nyuma
Mbongo badala ya kujifunza kwa aliyemtangulia huwa anamuekea wivuMwenyewe huna akili, acha roho mbaya na maendeleo ya wengine, haiwezi kubadili chochote kwenye maisha yako km huna bidii ya kutafuta Mxxiewwww
Watu sijui wakoje wanafurahia matatizo ya wengine utasema ndio itawafanya kuwa matajiri. Inahuzunisha kwa KweliMbongo badala ya kujifunza kwa aliyemtangulia huwa anamuekea wivu
Acha tu, mbongo adui yake mkubwa ni mtu aliyemzidi.Watu sijui wakoje wanafurahia matatizo ya wengine utasema ndio itawafanya kuwa matajiri. Inahuzunisha kwa Kweli
Umeandika nini sasa hapo?Huna akili.
Wewe na mkundyu wa nguruwe hamna tofauti