Kariakoo ni soko kubwa sana na litanufaisha watanzania kama serikari mambo kadhaa

Kariakoo ni soko kubwa sana na litanufaisha watanzania kama serikari mambo kadhaa

Sina hili wala lile

New Member
Joined
Apr 4, 2024
Posts
2
Reaction score
0
kariakoo hii Mpya ambayo inaweza kufunguliwa hivi karibuni, inaweza kuwa na Fursa nyingi kwa vijana na kwa watanzania kwa ujumla kama serikali itaacha mambo kadhaa yafuatayo

1. Kubana uhuru wa wafanya Biashara wadogo wadogo
2. Kupunguza tozo za biashara
3. Kutengeneza miundombinu itakayovutia wawekekezaji

20240416_183559.jpg
 
Back
Top Bottom