Comment Yako haipo fair.Umaskini mbaya sana.. tafuta hela mkuu.
Hayo maviatu fake utaona ni uchafu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Faida ipo wewe. Juzi nimenunua Vans mpya hapo Kariakoo shimoni kwa 20k ila najua ina masharti kibao. Kwanza inabidi usiianike kwenye jua kabisa, yani bora uianike ndani hata wiki kuliko juani masaa mawili. Wakati huo ningenunua Vans original kwa 40k ningeanika juani kiasi mpaka ikauke. Pia material yanachoka mapema, unakuta mavitambaa yanatengeneza shape mbaya ukivaa.Hivi faida ya kuvaa viatu original iko wapi hasa?? Kwamba ufahari wa kuonekana umevaa maviatu ya gharama ndefu? Nani kwanza atajua kama umevaa OG au fake ikiwa kwa muonekano havina tofauti.
Miss you too.Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Nimekumisi tu basi.... hamna kingine.
Kwa kikwetu, ili kuweka msisitizo, naeza sema I miss you, missn't I?
Kwa kweli siwezi kuvivaa viatu vya dizaini hio hata viwe OG,vinawapendeza wachunga ng'ombe.
Umaskini mbaya sana.. tafuta hela mkuu.
Hayo maviatu fake utaona ni uchafu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mmeru pure kabisaBro wewe ni ngosha kama sijakosea
Miss you too.
🤣🤣🤣
Mi nilishindwa na kikwenu Bana.
Hivi kuna ngosha mwislam kweli au ni wale waarabu weusi Wa pale tinde.Bro wewe ni ngosha kama sijakosea
Kariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha Waislamu wenzangu nipate thawabu kwa Mola wangu).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000!
Daaah nikavikagua na kuanza kujisemea moyoni hivi si naonaga akina David Sportswear, Robyone, NjooKariakoo2020 wanauza kuanzia 65,000 mpaka 70, 0000!!!
Nikamwambia mshikaji mie nina 14,000 akanitolea nje. Nikasepa, akaniita akasema ongeza buku. Nikampa 15,000 nikabeba.
Wakuu, kumbe madukani huwa mnaibiwa. Vitu vya kijanja kwa bei za kijanja vyote vipo Kariakoo.
View attachment 1764016
Oscar?!Kaka umekuja mjini kwa shemeji yako lini?
Hiyo raba Leo unalala nayo kitandani, na hiyo handkerchief ya mistari duh.Hey dawg, are you a dwarf?
You sound like a dwarf
Kuna kiatu nilinunua duka flani hivi la wasabato pale Mwenge sijui kama bado lipo, aisee wale jamaa wanauza ngozi original kabisa. Yani kile kiatu mpak sasa hivi bado kiko vile vile na ninavaa kila sikuTofauti ni durability. OG utadumu nacho zaidi maana imara