Kariakoo: Nimenunua Raba kali kinoma kwa 15,000/=. Madukani huwa naona zinauzwa 70,000/=

Sijaona umuhimu wa OG.

Sasa kama unanunua kitu ili ukivae mwaka duh mbona ni indicator ya umasikini?

Vaa viatu miezi kadhaa then tupa kulee.

Unamiliki kitu mwaka wakati dukani kila siku something new is arising.

#YNWA
 
Sijaona umuhimu wa OG.
Sasa kama unanunua kitu ili ukivae mwaka duh mbona ni indicator ya umasikini?

Vaa viatu miezi kadhaa then tupa kulee.
Unamiliki kitu mwaka wakati dukani kila siku something new is arising.

#YNWA
Ni umaskini mkubwa sana kununua vitu ili uishi navyo muda mfupi kwa vile vitaharibika mapema.

Ni tabia za watu maskini kununua counterfeit, knockoffs, fake products zenye bei nafuu na ubora hafifu huku wakijisifia wamebana matumizi.
Ni umaskini vilevile kupenda kuwa na vitu vipya ila feki. Yani mtu kuhesabu idadi ya pair za aina ileile ulizonunua kwa mwaka kisa zilikuwa feki hazidumu ndio umaskini wenyewe. Badala yake ungejivunia kitu halisi.

Nenda kwa wenye hela unakuta ana collection ya viatu kibao quality vina miaka hata minne anavaa hata 6× per year. Kiatu nakinunua 30k nakitunzaje miaka
 
Duuh... The power of social media.
Kila mtu ana hela. Kila mtu mjanja.
Kila mtu ananunua vitu vyote OG.
Kila mtu tajiri, masikini hawapo.
Kila mtu anavaa viatu vyenye thamani kuanzia 50,000 kupanda juu!!

MATAKO YANGU MIEEEEE MASIKINIIII
 
Safi mimi maskini. Haya wewe tajiri una hela gani kapuku tu... Zaidi ya kuning'iniza kengele na mrija wa mkojo una nini hasa unachojivunia? Taja namie nitaje.

[emoji23][emoji23][emoji23] huwa unanifurahisha unaenda nao hivyo hivyo
 
Sijaona umuhimu wa OG.
Sasa kama unanunua kitu ili ukivae mwaka duh mbona ni indicator ya umasikini?

Vaa viatu miezi kadhaa then tupa kulee.
Unamiliki kitu mwaka wakati dukani kila siku something new is arising.

#YNWA
Ulichozungumza hapo ni tabia ya kimasikini. Hakuna tajiri anae nunua kiatu bei rahisi ili kiishe baada ya wiki anunue kingine.
 
I don't care. Uzuri nikivaa hakuna anayejua nimevaa fake boots. Naonekana nimevaa viatu vya gharama kubwa sana. Huoni mimi ndio mjanja?
Wake za watu hamtakagi ujinga nyie. Leo unapika nn kwenye futari?
 
Hizo raba za 60K au 70K siwezi nunua kwanza sina pesa pili itaniuma nijibane vyote hivyo halafu kiatu hicho hicho nikute ni sare maua.

Kuhusu mleta uzi ni dhahiri hiki kiatu siyo ishu. Utakuta soli ni plastic, kitambaa ni cha kuteleza na masponji ni mengi.

So raba na viatu vya ofisi hua nanunua za mtumba. Karume.
 
sawa mdau...

ila hao wa madukani huwa wanachukua kwa hao washikaji kwa bei che na mzigo wa kutosha.
 
Duuh... The power of social media.
Kila mtu ana hela. Kila mtu mjanja.
Kila mtu ananunua vitu vyote OG.
Kila mtu tajiri, masikini hawapo.
Kila mtu anavaa viatu vyenye thamani kuanzia 50,000 kupanda juu!!

MATAKO YANGU MIEEEEE MASIKINIIII
Na kila mtu Passo kwake ni gari ya kuendea sokoni mfanyakazi wake wa ndani.
 
Kakupiga zinauzwa 10. Ia hakuna kitu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…