Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Sijaona umuhimu wa OG.Faida ipo wewe. Juzi nimenunua Vans mpya hapo Kariakoo shimoni kwa 20k ila najua ina masharti kibao. Kwanza inabidi usiianike kwenye jua kabisa, yani bora uianike ndani hata wiki kuliko juani masaa mawili. Wakati huo ningenunua Vans original kwa 40k ningeanika juani kiasi mpaka ikauke. Pia material yanachoka mapema, unakuta mavitambaa yanatengeneza shape mbaya ukivaa...
Ni umaskini mkubwa sana kununua vitu ili uishi navyo muda mfupi kwa vile vitaharibika mapema.Sijaona umuhimu wa OG.
Sasa kama unanunua kitu ili ukivae mwaka duh mbona ni indicator ya umasikini?
Vaa viatu miezi kadhaa then tupa kulee.
Unamiliki kitu mwaka wakati dukani kila siku something new is arising.
#YNWA
Cheki hii mbuzi!Watu mnajua kuzima maandamano jamaa kazima kama mshumaa, nadhani mwaka mzima hataweka hata nukta kwenye nyuzi zenu humu JF
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Safi mimi maskini. Haya wewe tajiri una hela gani kapuku tu... Zaidi ya kuning'iniza kengele na mrija wa mkojo una nini hasa unachojivunia? Taja namie nitaje.
Ulichozungumza hapo ni tabia ya kimasikini. Hakuna tajiri anae nunua kiatu bei rahisi ili kiishe baada ya wiki anunue kingine.Sijaona umuhimu wa OG.
Sasa kama unanunua kitu ili ukivae mwaka duh mbona ni indicator ya umasikini?
Vaa viatu miezi kadhaa then tupa kulee.
Unamiliki kitu mwaka wakati dukani kila siku something new is arising.
#YNWA
kudumu? unataka kiatu uvae miaka mingapi!?Tofauti ni durability. OG utadumu nacho zaidi maana imara
Wake za watu hamtakagi ujinga nyie. Leo unapika nn kwenye futari?I don't care. Uzuri nikivaa hakuna anayejua nimevaa fake boots. Naonekana nimevaa viatu vya gharama kubwa sana. Huoni mimi ndio mjanja?
Wewe unataka uvae wiki ngapi?
Kila mtu tajiri, masikini hawapo.
Kila mtu anavaa viatu vyenye thamani kuanzia 50,000 kupanda juu!!
Na kila mtu Passo kwake ni gari ya kuendea sokoni mfanyakazi wake wa ndani.Duuh... The power of social media.
Kila mtu ana hela. Kila mtu mjanja.
Kila mtu ananunua vitu vyote OG.
Kila mtu tajiri, masikini hawapo.
Kila mtu anavaa viatu vyenye thamani kuanzia 50,000 kupanda juu!!
MATAKO YANGU MIEEEEE MASIKINIIII
Kakupiga zinauzwa 10. Ia hakuna kitu hapoKariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha Waislamu wenzangu nipate thawabu kwa Mola wangu. Yaani pamoja na kuwa na tabia chafu ya kutembea na wake za watu lakin najivunia kuwa Muislamu aisee. Inshallah mwaka huu nikioa nitatulia).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000!
Daaah nikavikagua na kuanza kujisemea moyoni hivi si naonaga akina David Sportswear, Robyone, NjooKariakoo2020 wanauza kuanzia 65,000 mpaka 70, 0000!!!
Nikamwambia mshikaji mie nina 14,000 akanitolea nje. Nikasepa, akaniita akasema ongeza buku. Nikampa 15,000 nikabeba.
Wakuu, kumbe madukani huwa mnaibiwa. Vitu vya kijanja kwa bei za kijanja vyote vipo Kariakoo.
View attachment 1764016
Inategemea na kampani yako....I don't care. Uzuri nikivaa hakuna anayejua nimevaa fake boots. Naonekana nimevaa viatu vya gharama kubwa sana. Huoni mimi ndio mjanja?