Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

Kariakoo is a Guangzhou of Africa.
Nairobi ndio halisia kama New York,Guangzhou na London global business centers sababu ndio makao makuu ya kampuni nyingi za dunia Africa .Hii Kariakoo yenu ni kama Bujumbura tu in the grand scheme of business centers of importance in Africa.
 
Sio Afrika Mashariki. Nenda pale National Defence College maeneo ya Kunduchi Mtongani, waulize wanachuo hasa toka nje ya Tanzania, kama ukanda wa East, Central & South Afrika kama kuna CBD (Central Business District) inayoizidi Kariakoo!?

Bazazi
aa wapi? mara c.b.d mara residential area,, sasa which one is which?
very disorganized place. unapata watu sijui ni wendawazimu mita chache kando ya barabara wanang'ang'ana na kupika vitu visivyoeleweka na cha ajabu, hawakosi wateja
 
aa wapi? mara c.b.d mara residential area,, sasa which one is which?
very disorganized place. unapata watu sijui ni wendawazimu mita chache kando ya barabara wanang'ang'ana na kupika vitu visivyoeleweka na cha ajabu, hawakosi wateja
Pole Sana

Bazazi
 
Wr jamaa pohoyo kweli watu wanazungumzia CBD wewe unaleta Mall???
Kariakoo ni sehemu ya biashara na imechanagmka kuliko sehemu yoyote E. A and Central Africa
 
Kariakoo kuna vyumba zingine za mabati na watu wengi sana wanauza kwa barabara hakupitiki na pia kuchafu sana sana.Sasa mnaleta picha tu za mijigorofa mnaacha kule kubaya na kuchafu zaidi ili kuhadaa waKenya .
Idadi ya magorofa yaliyopo kkoo peke yake yanazidi idadi ya magorofa yote Nairobi na hizo mnazoita CBD mpya
 
View attachment 1184843


1. Mwanzo kabisa kule panaitwa Gerezani hapo kuna karakana zinatengeneza vitu achaaaa, Kuanzia dude la kupikia vitumbua hadi PIMP my ride! Hapo hapo karibu Building and construction materials.

2. Ukivuka Uhuru street pia kuna construction materials kiasi, ikafuata nguo na Viatu hasa mtaa wa Congo na Mtaa wa Narung’ombe (hapa huna hata pa kukanyaga ( Wanapaita China Town sasa) Hapa ndio soko la viatu, Ndio penyewe.

3.Jengo lenyewe la kariakoo kama kawa, una pata kila kitu hadi plau pezi [emoji23]. Pesticides etc

4 . Shuka chini kidogo mtaa wa mafia unakutana na Pikipiki, Na spare parts.

5 Chini kidogo unapata pia Kila spare parts ya gari yoyote hadi wana Toyota Tanzania ( Genuine Parts)

6. Hapo tunazungumzia Upande wa Kushoto wa Msimbazi street. Kulia kuna maeneo ya Agrey, pale unapata simu yoyote unayoijua wewe na pia unatengenezewa simu yako hata kama imeharibika vipi, ukishika chini upande huo huo wa kulia kuna soko la vitambaa. Hatari.





Hapo kariakoo usiku ndio utajua Kariakoo sio ya mchezo, kila mtaa unazibwa containers zinashusha mizigo.

Zimbwabean, Zambian, Namibian, Botswana , Congo , Shelisheli, Comoro wanadaka mzigo hapo.

Ukitaka kujua nani anakuja sana kuchukua mizigo Hapo kariakoo, Tembelea Hotel zote za karikaoo.

Hadi sasa kuna vijana kazi yao ni kupack mizigo, wamespecialize Wanajua jinsi ya kupanga bwana. Corona vya wazambia na wazimbabwe lazima vishindiliwe vizuri.

Yaani ni Guangzhou ya bongo Maana Kule hadi wanaigeria wamespecialize Kupack mizigo. [emoji23]

Sijaongelea kule lumumba, Duh, Car accessories , Music mnene wa gari yako , Tairi etc ndio pale . Inapark Modern Coast na Tahmeed.

Kulingana na mizigo inayobebwa hapo, kama hadi godoro mtu kapakia, Labda awe anashukia Tanga, Hata kama anaenda nalo mombasa, Basi litakua bora sana , Au lipo cheap kuliko huko? Au kapewa bure zawadi, yote yanaweza tokea [emoji23]

Kariakoo noma bwana.

Kuna jamaa alipost Malls hapo juu.


Mkuki House, Aura Mall, City mall zote zipo in a walking distance .
Nadhani hakuelewa maana ya mkuu Hapo juu.









 
Muulize MK254 kama hiyo picha siyo kkoo maana ana dai ameishi sana dar es salaam ,sasa wewe unabisha kwa sababu umeiona iko na majengo mengi ,hapo tukikutupa katikati uwezi kutoka utakuwa unazunguka usijue wapi unaenda
 
Nilitegemea lazima uje na matambo kujibu thread!
 
Kariakoo kuna vyumba zingine za mabati na watu wengi sana wanauza kwa barabara hakupitiki na pia kuchafu sana sana.Sasa mnaleta picha tu za mijigorofa mnaacha kule kubaya na kuchafu zaidi ili kuhadaa waKenya .
Zinazungumziwa nyumba za bati na nyasi au business centre?
Kwani Nairobi haina matakataka kuliko afrika nzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…