Wahaya huwajui wewe kuna jamaa anaitwa BARONGO ana maduka mengi sana Kariakoo ya Hardware!Wahaya mpambane na vitabu, biashara kitu kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahaya huwajui wewe kuna jamaa anaitwa BARONGO ana maduka mengi sana Kariakoo ya Hardware!Wahaya mpambane na vitabu, biashara kitu kingine
Kwanini wao waendelee kuishi kama sio watanzania,
hawashiriki misiba labda awe kiongozi mkubwa,
hawataki tuoleane.
EEEeeeennnHEeeee!Hujafanya research vizuri mzee, kuna watu kibao pale wanatokea Tanga. Kuna wale wanaosalimia Kukile, kuna wamyamwez na wasukuma wa kutosha pale. Inshort umeongea kwa kutumia common sense tu
Naongea kwq common sense wakati naahinda hapo kila siku?EEEeeeennnHEeeee!
Kama ulivyo "tumia 'common sense' " wewe mwenyewe!
Kariakoo hii, tunaweza kusema lilikuwa ni eneo lenye wakazi wengi wa asili hadi miaka michache iliyo pita. Kwenye miaka ya 70, Kariakoo
Maadam hujafanya 'structured research"; hiyo itabaki kuwa ni "common sense" tu kama ulivyo eleza hapo juu!N
Naongea kwq common sense wakati naahinda hapo kila siku?
Jaribu kuwaondoa kama hautoona baada ya siku mbili tu pamejaa. Acha kukaririshwa.View attachment 3170601
Ukitaka kupunguza tatizo la msongamano Kariakoo ondoa wakinga, wachaga na watanzania wenye asili za kihindi, kiarabu, kisomali, kichina, n.k.. hawa ni almost asilimia 70 ya biashara za Kariakoo
Wanaobaki kwa mbali labda ni waha na wapemba kwa makadirikio ni asilimia 20
wanaobaki asilimia 10 ni watu wote unaowajua Tz kuanzia wamasai, wasambaa, wasukuma, wanyakyusa, wafipa, wanyaturu, wangoni, wabena, n.k.
Uwaondoe uwapeleke wapi tena, nadhani tulipofika Tanzania ni ma halfcaste wa makabila mchanyato...
Simulizi za makuzi ya mtanzania huyu toka familia ya kawaida baba akiwa dereva wa taxi na mama akiwa mama ntilie akipika vitumbua, kalimati, maandazi wakati Karim Manji akikua mitaa ya Kariakoo jijini DSM, Pugu Secondary school hadi chuo kikuu...
View: https://m.youtube.com/watch?v=CXuaO36ZLtU
Hongera Prof Karim Manji Kwa kuitangaza Tanzania na Muhimbili University
================
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempongeza Profesa Karim Manji wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) aliyechaguliwa kuwa miongoni mwa washindi wa tuzo ya muhitimu bora wa Chuo Kikuu cha Harvard.
Profesa Karim Manji ameokoa maisha ya watoto wengi wachanga pamoja na waliozaliwa kabla ya wakati na wenye uzito mdogo yaani ‘njiti’ katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) miaka 30 iliyopita.
Rais Samia ametoa pongezi hizo leo Jumapili, Septemba 15, 2024 kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
“Pongezi za dhati kwa Profesa Karim Manji, bingwa, mkufunzi na mtafiti katika eneo la tiba ya watoto na afya ya vijana, kwa ushindi wa tuzo ya Alumni Award of Merit kutoka Shule ya Afya ya Chuo Kikuu cha Harvard (Harvard T.H. Chan School of Public Health).”
Wengi wamehamia magomeni ndiyo hawa akina Mohammed Said japo yeye ni mmanyemaNi mada fikirish sanai ukiondoa vimelea vya sumu mwambata vijitokezavyo maswala ya aina hii yanapo jadiliwa kwa hisia.
Kariakoo hii, tunaweza kusema lilikuwa ni eneo lenye wakazi wengi wa asili hadi miaka michache iliyo pita. Kwenye miaka ya 70, Kariakoo kulikuwemo na nyumba za makuti za wenyeji. Sasa sijui wenyeji hao walio baki eneo hili ni wangapi?
Nawaza tu, kwa sababu sijui: ingetokea eneo hili likawa ni eneo ambalo lilikuwa na wakazi wa asili, baadhi ya hao walio tajwa kwenye mada; hali ingekuwa ni tofauti na hawa waliokuwa Kariakoo mwanzo?
Au mpka nikupe journal niliyoweka finding zangu pale?Maadam hujafanya 'structured research"; hiyo itabaki kuwa ni "common sense" tu kama ulivyo eleza hapo juu!
EEEEEEHEE!Au mpka nikupe journal niliyoweka finding zangu pale?