Kariakoo ukiondoa Wakinga, Wachaga na wenye asili ya nchi za nje, panabaki patupu

Kariakoo ukiondoa Wakinga, Wachaga na wenye asili ya nchi za nje, panabaki patupu

Wapo jamii na makabila mengi sana yanayofanya biashara hapo, biashara zote hizo ni za uchuuzi. Kuna watu wa kutoka pwani kama Tanga, wenye asili ya Zanzibar wanafanya biashara ya Kila aina , Yani Kila aina. Sema ni ngumu kuwafahamu au kujimwambafai kikanda au kikabila, wana connection za maana si za China tu Hadi arabuni kote huko.
 
wana connection za maana

Wakuja ndiyo huwa wanaji mwambafai sana, lakini waliolowea kwa miaka mingi waTanganyika wenye asili ya Wadenge, Yao, Makua, Zaramo, Nyasaland, Zimbabwe, Congo, Zanzibar, Hadharamut Washihiri, Gujarati, Baluchi, Shirazi, Omani, Comoros, Somaliand, Nubian, Mozambique n.k hawana makeke wala makelele wanaendelea na biashara kubwa kubwa.
 
Back
Top Bottom