Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahahaha hapo hakuna uzitoπππππBalaa zito
Nimefurahi kusikia hivyo kipenzi [emoji3059][emoji120]Ahsante kwa ushauri dada nitawaepuka mwaya [emoji120]
Nimeokoka ss hivi
Na mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]Thread ya mishangazi hii
Really!Huyo ni mke halali wa Countrywide
Kausha damu nyieNa mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]
hapana sizingui mtumishi,Unazingua Apostle π€£π€£π
yes,Uwe mwema utasemwa, uwe mbaya utasemwa πππ
Yes,Baba mtumishi unayaweza π
mwanzo sikuelewa, baadae nikawa makini kidogo, nikaanza kupata ufahamu na hatimae Roho mtakatifu akanambia usiondoke bana humu humu na nikafanya hivyo...Baba mtumishi bado unanipenda ww, umesikia Lamomy mbio umekuja kutia nongwa zako πππ
πππ usijaliOya
Nasubiri picha za vacation kule kwa anko mshana
π€£π€£π€£π€£ Unaogopa vikosi vya mizingaSitaki kunyonywa damu mie hapanifai hapa
Mpambe nisharudi na safari hii mama mchungaji lazima umpate haiwezekani akusumbue toka mwaka jana, tumeingia mpya bado anasumbua π€£π€£π€£Dah. Nisiseme wakasikia. Mpambe ulikosekana ikawa huzuniπ. Karibu. Kantri uko naye karibu hapo?πββοΈπββοΈ
Mimi hapa nimerudi kutoka tukuyu pitia kuna matoke zako nimekubebea πππNilidhani kuna mtu karudi toka safari...
πππ nimecheka balaaNa mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]
Kesho uje tukaandamane mtumishi πππhapana sizingui mtumishi,
nipo kamili, ndani ndraani kabisi ya Yesu...
Hiyo zaburi unaipenda kuitolea mfano πYes,
nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.
na zaburi:23 inanitegemeza sana katika yote
Shangazi mwenzao karudiNilidhani kuna mtu karudi toka safari...
Amina πmwanzo sikuelewa, baadae nikawa makini kidogo, nikaanza kupata ufahamu na hatimae Roho mtakatifu akanambia usiondoke bana humu humu na nikafanya hivyo...
Namshukuru Mungu sana, kwakweli bado nakupenda wewe na familia yako naiheshimu sana...
Heri na Baraka za Mwaka mpya kwanza π
Binadamu wana nongwa mnoyes,
hakuna jema kwa mwanadamu