Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahahaha hapo hakuna uzito๐๐๐๐๐Balaa zito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha hapo hakuna uzito๐๐๐๐๐Balaa zito
Nimefurahi kusikia hivyo kipenzi [emoji3059][emoji120]Ahsante kwa ushauri dada nitawaepuka mwaya [emoji120]
Nimeokoka ss hivi
Na mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]Thread ya mishangazi hii
Really!Huyo ni mke halali wa Countrywide
Kausha damu nyieNa mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]
hapana sizingui mtumishi,Unazingua Apostle ๐คฃ๐คฃ๐
yes,Uwe mwema utasemwa, uwe mbaya utasemwa ๐๐๐
Yes,Baba mtumishi unayaweza ๐
mwanzo sikuelewa, baadae nikawa makini kidogo, nikaanza kupata ufahamu na hatimae Roho mtakatifu akanambia usiondoke bana humu humu na nikafanya hivyo...Baba mtumishi bado unanipenda ww, umesikia Lamomy mbio umekuja kutia nongwa zako ๐๐๐
๐๐๐ usijaliOya
Nasubiri picha za vacation kule kwa anko mshana
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Unaogopa vikosi vya mizingaSitaki kunyonywa damu mie hapanifai hapa
Mpambe nisharudi na safari hii mama mchungaji lazima umpate haiwezekani akusumbue toka mwaka jana, tumeingia mpya bado anasumbua ๐คฃ๐คฃ๐คฃDah. Nisiseme wakasikia. Mpambe ulikosekana ikawa huzuni๐. Karibu. Kantri uko naye karibu hapo?๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Mimi hapa nimerudi kutoka tukuyu pitia kuna matoke zako nimekubebea ๐๐๐Nilidhani kuna mtu karudi toka safari...
๐๐๐ nimecheka balaaNa mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]
Kesho uje tukaandamane mtumishi ๐๐๐hapana sizingui mtumishi,
nipo kamili, ndani ndraani kabisi ya Yesu...
Hiyo zaburi unaipenda kuitolea mfano ๐Yes,
nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.
na zaburi:23 inanitegemeza sana katika yote
Shangazi mwenzao karudiNilidhani kuna mtu karudi toka safari...
Amina ๐mwanzo sikuelewa, baadae nikawa makini kidogo, nikaanza kupata ufahamu na hatimae Roho mtakatifu akanambia usiondoke bana humu humu na nikafanya hivyo...
Namshukuru Mungu sana, kwakweli bado nakupenda wewe na familia yako naiheshimu sana...
Heri na Baraka za Mwaka mpya kwanza ๐
Binadamu wana nongwa mnoyes,
hakuna jema kwa mwanadamu