Karibu baby sis

Karibu baby sis

🤣🤣🤣🤣Dahhh umenikumbusha rafiki yangu akiona Mtu mshamba anauliza huyo mjomba mjomba umetoa wapi🤣🤣nisamehe Legend wewe ni auncle
Ewaa, mie uncle bwana...
Sifa za wajomba na uncles zinatofautiana sana🤣
 
Yes! Lamomy ni Cute wife,ni mke wa Country wizzo,ila aliyefungua Uzi ni Mimi dada yake,Kwa kuwa nimefurahi amerudi....halafu mbona wewe Huwa hupigwi ban,mbona na wewe mdomo wako umechachuka sana😄😄😄
Na mi najiulizaga hilo swali 😂😂😂
Itakuwa ana vyeti vyake kakabidhi jf
 
Back
Top Bottom