"Karibu Karibu Ndugu Jela ni ya Wanaume," Field Marshal John Okello Anamkaribisha Abdilatif Abdulla Kamiti Prison

"Karibu Karibu Ndugu Jela ni ya Wanaume," Field Marshal John Okello Anamkaribisha Abdilatif Abdulla Kamiti Prison

Hizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'

Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.

Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
Hatari sana hiki kizazi cha nyoka unaingia jukwaa la historia , kulalamikia habari za kale
 
Okello ndio Baba wa Zanzibar shida alikua Mganda kutoka kule kwa Kabaka Mutesa I kinyume chake yeye ndio angekua rais wa kwanza wa Zenji
John Okello alikuwa na matatizo mawili alikuwa eccentric au mwehu.Alikuwa na majigambo sana kuwa yeye ni Field Marshal wakati alikuwa hajapitia jeshi.
Hili jambo la wehu liliwaogopesha watawala wakaona atakuja kusumbua mbeleni
Kule Uganda alikwenda kumpa Idi Amini pongezi kwa kumpindua Obote japo Idi Amini alikuwa hapendi watu wa Kabila la Obote la Lango na Acholi na alikuwa anawauwa lakini kwa Okello aliona ni kete yake muhimu sana akataka ampe umakamu wa raisi akakataa akawa anataka uraisi Idi Amini akamuona huu ni mwiba
Alikuja kukamatwa na askari wa Amin akawatambia mimi ni Field Marshall Okello hamuwezi kunikamata nyie ni wa vyeo vya chini.Kama alitabiri kifo chake akawaambia wale makamanda mfikishe salamu kwa familia yangu.
Jamaa toka siku hiyo ni hadithi hakuonekana tena
 
Ndivyo walivyo watawala , wanakugeuza tambara bovu , wakisha kulitumia hulitupa ndivyo alivyogeuzwa Okello na wengi wa wana mavamizi
Okello angefaa kuitwa Baba wa Taifa la Zanzibar lkn kwakuwa alikuwa Mgalatia waliamua kuizika historia yake iliyotukuka.
 
Okello angefaa kuitwa Baba wa Taifa la Zanzibar lkn kwakuwa alikuwa Mgalatia waliamua kuizika historia yake iliyotukuka.

Baba wa taifa aliyeletwa na wakatoliki chini ya Laanatullahi Nyerere kuuwa waislamu ??
 
Nyerere aliwazidi wote akili

Naye alizidiwa akili na Mkapa siku ya birthday yake baada ya kunywa champagne iliyotiwa vitu , akagunduwa but it was too late , akabaki kulia kama mtoto mdogo
 
Naye alizidiwa akili na Mkapa siku ya birthday yake baada ya kunywa champagne iliyotiwa vitu , akagunduwa but it was too late , akabaki kulia kama mtoto mdogo
Hizo story ni maarufu sana kwenye vijiwe vya pembezoni na msikiti wa manyema....
 
John Okello ni kama Che Guevara wa Afrika. Ni aina ya wanamapinduzi waliokuwa wakitumima/kujituma wenyewe maeneo mbalimbali kwa kazi hizo.
Hata tamko la kwanza kwa umma kupitia radio kuwa Sultani kapinduliwa Zanzibar lilitolewa na huyo Okello
 
Hizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'

Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.

Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
Moja kati ya hoja dhaifu kabisa za kufungia mwaka 2024. Jitahidi mwaka huu ubadilike
 
Sishangai kuona majina yako yote yamekaa kimagharibi
Mtu asiyependa kujua asili yake na kudharau historia yake ni utumwa wa kifikra
Watu weupe wenyewe wana museum za mambo ya kale kabla hata ya ujio wa mtume
Mohamed na Issa Bin Mariam
Mbona hata tunafundishwa mambo mazuri ya mitume wetu waliopita na tunayaiga
Hii ni kasumba sawa na aliyekuwa waziri wa sheria na katiba Kenya Charles Njonjo
ngozi nyeusi kama mkaa lakini alikuwa na kasumba ya kuuchukia uafrica wake
Siku moja alipanda ndege alivyotua akaambiwa aliyekuwa rubani alikuwa muafrica
alisononeka sana
Hata hao unaotaka tuwasome nao wanamajina ya kiarabu Sasa tutajifunza historia gani kutoka kwao?
 
Moja kati ya hoja dhaifu kabisa za kufungia mwaka 2024. Jitahidi mwaka huu ubadilike
Yes, Habari hiyo ni Upuuzi tupu.

Tunataka kusikia Serikali ya nchi hii kwa Sasa kwa kushirikiana na Wananchi itaondoaje tatizo la Uchumi mbovu lililopo hapa Tanzania? Vipi kuhusu suluhisho la tatizo la ukosefu wa Ajira kwa Vijana?, n.k, n.k, n.k.

Hizi ndizo Habari tunazotaka kusikia kwa Sasa, siyo kila wakati wanajadili kuhusu Habari za mambo ya kale yaliyopitwa na wakati
 
Back
Top Bottom