Hatari sana hiki kizazi cha nyoka unaingia jukwaa la historia , kulalamikia habari za kaleHizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'
Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.
Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
John Okello alikuwa na matatizo mawili alikuwa eccentric au mwehu.Alikuwa na majigambo sana kuwa yeye ni Field Marshal wakati alikuwa hajapitia jeshi.Okello ndio Baba wa Zanzibar shida alikua Mganda kutoka kule kwa Kabaka Mutesa I kinyume chake yeye ndio angekua rais wa kwanza wa Zenji
Okello angefaa kuitwa Baba wa Taifa la Zanzibar lkn kwakuwa alikuwa Mgalatia waliamua kuizika historia yake iliyotukuka.Ndivyo walivyo watawala , wanakugeuza tambara bovu , wakisha kulitumia hulitupa ndivyo alivyogeuzwa Okello na wengi wa wana mavamizi
Okello angefaa kuitwa Baba wa Taifa la Zanzibar lkn kwakuwa alikuwa Mgalatia waliamua kuizika historia yake iliyotukuka.
Nyerere aliwazidi wote akiliBaba wa taifa aliyeletwa na wakatoliki chini ya Laanatullahi Nyerere kuuwa waislamu ??
Nyerere aliwazidi wote akili
Hizo story ni maarufu sana kwenye vijiwe vya pembezoni na msikiti wa manyema....Naye alizidiwa akili na Mkapa siku ya birthday yake baada ya kunywa champagne iliyotiwa vitu , akagunduwa but it was too late , akabaki kulia kama mtoto mdogo
Hizo story ni maarufu sana kwenye vijiwe vya pembezoni na msikiti wa manyema....
Moja kati ya hoja dhaifu kabisa za kufungia mwaka 2024. Jitahidi mwaka huu ubadilikeHizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'
Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.
Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
Hata hao unaotaka tuwasome nao wanamajina ya kiarabu Sasa tutajifunza historia gani kutoka kwao?Sishangai kuona majina yako yote yamekaa kimagharibi
Mtu asiyependa kujua asili yake na kudharau historia yake ni utumwa wa kifikra
Watu weupe wenyewe wana museum za mambo ya kale kabla hata ya ujio wa mtume
Mohamed na Issa Bin Mariam
Mbona hata tunafundishwa mambo mazuri ya mitume wetu waliopita na tunayaiga
Hii ni kasumba sawa na aliyekuwa waziri wa sheria na katiba Kenya Charles Njonjo
ngozi nyeusi kama mkaa lakini alikuwa na kasumba ya kuuchukia uafrica wake
Siku moja alipanda ndege alivyotua akaambiwa aliyekuwa rubani alikuwa muafrica
alisononeka sana
Yes, Habari hiyo ni Upuuzi tupu.Moja kati ya hoja dhaifu kabisa za kufungia mwaka 2024. Jitahidi mwaka huu ubadilike