Pole me ukibonge huu na ufupi๐ค๐ญ๐ญDah hapo kwenye dini tu nimekosa,ila mkuu I'd yako ya zamani ni ipi๐ค?
Huu ubonge nami umenikosesha chaai!Pole me ukibonge huu na ufupi[emoji848][emoji24][emoji24]
Fanya diet dyadyaa๐๐๐Mkuu nichukue mie bonge nitafanya mazoezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew anaweza kukufikilia mpendwa mimi hapo kwenye dini.Pole me ukibonge huu na ufupi๐ค๐ญ๐ญ
๐ ๐ ๐ ๐ Sio kwamba utaenda kuongezeka miezi ya mwanzo ya ndoa ambayo haina presha
Sidhani aisee bora ubonge unaeza umaliza ufupi sasa๐Wew anaweza kukufikilia mpendwa mimi hapo kwenye dini.
Ahahaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sio kwamba utaenda kuongezeka miezi ya mwanzo ya ndoa ambayo haina presha
Ngoja tumsubiri nani atamkubali kati yetu ๐Sidhani aisee bora ubonge unaeza umaliza ufupi sasa๐
We jamaa hahaaaa....
Umri wako utakuwa zaidi ya 40 yrs hapo ushaoa hata mara 2 na kuacha, huko mtaani huwaoni?Wanajamvi
Natafuta mwanamke aliye serious ambaye atakuja kuwa mke mwema kwangu, .Awe na sifa zifuatazo kwa ufupi;
1 Awe mcha Mungu
2.Awe Mkristo ,kama ni muislamu awe tayari kubadili dini
3.Asiwe mfupi wala kibonge .Awe mrefu wa wastani
4. Rangi yeyote.
5.Awe na elimu ya chuo
6.Awe amejiajiri au ameajiriwa.(au hata kama hana kazi lakini yupo tayari kuwa mchakarikaji)
7.Awe na umri kati ya miaka 28 - 35
8.Asiwe na mtoto
9.Asiwe mwanasheria
Kwa wale walio serious tu wani PM kwa maelezo zaidi hasa yanihusuyo mimi.
Asante na karibuni
Ili akupasie[emoji23][emoji23][emoji23] mtaani kwako na ww hujawaona?Dada ako ana sifa zote hizo