Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Nasubiria majibu kwenye maswali hayo mawili, ndiyo niseme
 
Mtoe tu mikopo bila faida yoyote ile? Hata nyie wezi. Fafanueni hiyo ada ya kujiunga tuone
Ukiishalipa hiyo ada utapewa ji-form kuuubwa ulijaze kisha utaambiwa hujakidhi vigezo!!!bongo mchezo huu upo sana refer tunayoyasikia kwenye matangazo ya shule na kuuzwa viwanja vinavyosimamiwa na serikali etc...

Utakuta wanatafutwa wahusika mfano 100,karatasi zinatoka 300 nyie 200 kama hamkukidhi vigezo pesa zenu elf20 sijui elf10 mtaenda kuwadai babu zenu huko waliko.

Watakaoingia kwa hawa jamaa wawe makini kidogo wasije wakawa wao ndo fursa ya hiyo kampuni.
 
Habari wakuu katika pitapita zangu humu jf nimekutana na huu uzi wa mkuu great kali binafsi nilikuwa na mawili au matatu ya kuzungumza juu ya hiyo kampuni japokuwa kila mmoja ana imani yake naomba nianze hivi mnamo tar 22/06/2018 nilikutana na tangazo la huyu jamaa na nambari zake za simu ni hizo hizo nikafanya nae mawasiliano nikihitaji mkopo wa tsh 4,000,000 nikamuuliza juu ya vigezo akinielezea finally shughuli ikaja kwenye kutuma pesa ya surveyor aje kukagua aisee kwa mambo ya mtandao yalivyo ilinichukulia takribani siku tatu kufikiria mwisho wa siku nikajitoa kimaso maso nikatuma pesa ya surveyor nikiamini kama nimehonga pesa yangu baada ya siku moja surveyor alifika ofisini kwangu na kukagua ilichukuwa siku moja kufika kwa sababu ofisi zao zipo mpanda baada ya surveyor kufika aliidhinisha mkopo wangu wa 4,000,000 kama picha inavyoonyesha hapo chini,sina la zaidi.
BARIKIWA
IMG_20180702_172959_728.jpg
 
Habari wakuu katika pitapita zangu humu jf nimekutana na huu uzi wa mkuu great kali binafsi nilikuwa na mawili au matatu ya kuzungumza juu ya hiyo kampuni japokuwa kila mmoja ana imani yake naomba nianze hivi mnamo tar 22/06/2018 nilikutana na tangazo la huyu jamaa na nambari zake za simu ni hizo hizo nikafanya nae mawasiliano nikihitaji mkopo wa tsh 4,000,000 nikamuuliza juu ya vigezo akinielezea finally shughuli ikaja kwenye kutuma pesa ya surveyor aje kukagua aisee kwa mambo ya mtandao yalivyo ilinichukulia takribani siku tatu kufikiria mwisho wa siku nikajitoa kimaso maso nikatuma pesa ya surveyor nikiamini kama nimehonga pesa yangu baada ya siku moja surveyor alifika ofisini kwangu na kukagua ilichukuwa siku moja kufika kwa sababu ofisi zao zipo mpanda baada ya surveyor kufika aliidhinisha mkopo wangu wa 4,000,000 kama picha inavyoonyesha hapo chini,sina la zaidi.
BARIKIWAView attachment 800855
Tafadhali ndugu Tafadhali.......jamaa kasema ada laki moja sasa lol 😀 😀 😀
 
Tafadhali ndugu Tafadhali.......jamaa kasema ada laki moja sasa lol 😀 😀 😀
Yah mkuu ni kweli ada ni Tsh 100k sasa sijui wewe mwenyewe its up to you chief ila ushuhuda ndiyo huo niliotoa hapo juu
 
Unalipa kabla au baada ya mkopo
Kablaaa wanasema ni gharama ya usafiri wa mkaguzi kuna kucheki biashara yako ...unaweza tuma nusu then mkopo ukiingia unamalizia
 
Habari wakuu katika pitapita zangu humu jf nimekutana na huu uzi wa mkuu great kali binafsi nilikuwa na mawili au matatu ya kuzungumza juu ya hiyo kampuni japokuwa kila mmoja ana imani yake naomba nianze hivi mnamo tar 22/06/2018 nilikutana na tangazo la huyu jamaa na nambari zake za simu ni hizo hizo nikafanya nae mawasiliano nikihitaji mkopo wa tsh 4,000,000 nikamuuliza juu ya vigezo akinielezea finally shughuli ikaja kwenye kutuma pesa ya surveyor aje kukagua aisee kwa mambo ya mtandao yalivyo ilinichukulia takribani siku tatu kufikiria mwisho wa siku nikajitoa kimaso maso nikatuma pesa ya surveyor nikiamini kama nimehonga pesa yangu baada ya siku moja surveyor alifika ofisini kwangu na kukagua ilichukuwa siku moja kufika kwa sababu ofisi zao zipo mpanda baada ya surveyor kufika aliidhinisha mkopo wangu wa 4,000,000 kama picha inavyoonyesha hapo chini,sina la zaidi.
BARIKIWAView attachment 800855
Huo mkopo mbona kama vile hiyo ni symbol ya chek au sielewi vizuri naomba msaada kueleweshwa wa jamen
 
Mwanzisha mada katokomeaaaa
 
Huo mkopo mbona kama vile hiyo ni symbol ya chek au sielewi vizuri naomba msaada kueleweshwa wa jamen
Hiyo ni chek ya mkopo niliopatiwa halafu bandugu ni hivi sihitaji maswali zaidi mimi nilichoongea kimejitosheleza kabisa akili vichwani mwenu
 
Back
Top Bottom