Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Usiwe mwepesi wa kutoa fursa kama hizi ikiwa huna uwezo wa kujenga hoja na kuwashawishi watu. Mtu anapowatuhumu kuwa nyie ni wapigaji hii ndiyo ilikuwa nafasi yako nzuri kumuelewesha nini lengo lenu kama ni upigaji au kusaidia jamii.
Mkuu kuna watu wana ubongo wa mende hata ukimuelewesha vp haelewi ndiyo maana nimemwambia kama anaamini negative aendelee hivyo hivyo.
 
Mkuu kuna watu wana ubongo wa mende hata ukimuelewesha vp haelewi ndiyo maana nimemwambia kama anaamini negative aendelee hivyo hivyo.
Take ur time mkuu ujibu maswali. Ndio tuna shida ya hela lakini security ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom