Dungeon
Senior Member
- Feb 27, 2018
- 188
- 309
Maswali mengine Muulizeni mwenyewe ila mimi ninachokifahamu ndiyo hicho mkopo upo na unatoka.Kuna maswali mengi hajajibu
I'M DONE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali mengine Muulizeni mwenyewe ila mimi ninachokifahamu ndiyo hicho mkopo upo na unatoka.Kuna maswali mengi hajajibu
Usiwe mwepesi wa kutoa fursa kama hizi ikiwa huna uwezo wa kujenga hoja na kuwashawishi watu. Mtu anapowatuhumu kuwa nyie ni wapigaji hii ndiyo ilikuwa nafasi yako nzuri kumuelewesha nini lengo lenu kama ni upigaji au kusaidia jamii.Sawa shukrani sisi wapigaji huna haja ya kujiunga nasi
Hyo smell hata mie naihis hapa kwa pua yangu. Mteremko mkali huu mh icje kuwa mwisho ni ajali km ule mteremko wa kitongaDuuuh. I smell something hapa. Anyway kwanza rudi usome ulichoandika then angalia na hizo namba.
Mna website?
Kabisa ndugu yanguHyo smell hata mie naihis hapa kwa pua yangu. Mteremko mkali huu mh icje kuwa mwisho ni ajali km ule mteremko wa kitonga
swali zuri sana hl,,, mkopo bila riba?? Really?Mbona kwenye ada husemi? Na mnaendeshaje ofisi kama hamcharge riba kwenye mikopo yenu???
HahahhaJamani tofauti na shuhuda huyo aje mwingine ....mambo yakujipeleka kibra mwenyew staki
Huo sio mkopo ni msaadaswali zuri sana hl,,, mkopo bila riba?? Really?
Ase,,, itakuwa hvyo,,, jamaa mbona kakimbia kujbu baadhi ya maswali,,, kuna shaka hapaHuo sio mkopo ni msaada
Ni imani yako hakuna shidaMatapeli hawa.
Eti ulipe ada ndo upate mkopo??
Hujakosea kila mtu na falasafa yake hivyo basi ndiyo unavyoamini weweMatapeli hawa mkuu
NipoMwanzisha mada katokomeaaaa
Mkuu kuna watu wana ubongo wa mende hata ukimuelewesha vp haelewi ndiyo maana nimemwambia kama anaamini negative aendelee hivyo hivyo.Usiwe mwepesi wa kutoa fursa kama hizi ikiwa huna uwezo wa kujenga hoja na kuwashawishi watu. Mtu anapowatuhumu kuwa nyie ni wapigaji hii ndiyo ilikuwa nafasi yako nzuri kumuelewesha nini lengo lenu kama ni upigaji au kusaidia jamii.
Msaidie kujibu basi.Maswali mengine Muulizeni mwenyewe ila mimi ninachokifahamu ndiyo hicho mkopo upo na unatoka.
I'M DONE
Hakuna slope hapo hatutoi pesa bure tunakopesha isipokuwa tu masharti ni rafiki sanaHyo smell hata mie naihis hapa kwa pua yangu. Mteremko mkali huu mh icje kuwa mwisho ni ajali km ule mteremko wa kitonga
Waliopiga simu wameelewa vizuri tu kama huna nia Take uar timeswali zuri sana hl,,, mkopo bila riba?? Really?
Take ur time mkuu ujibu maswali. Ndio tuna shida ya hela lakini security ni muhimu sana.Mkuu kuna watu wana ubongo wa mende hata ukimuelewesha vp haelewi ndiyo maana nimemwambia kama anaamini negative aendelee hivyo hivyo.
Nipo mkuu nia ya kutoa mkopo bila riba ni kujitangaza kwanza. Then hapo baadae sana ndiyo tutaweka system ya ribaAse,,, itakuwa hvyo,,, jamaa mbona kakimbia kujbu baadhi ya maswali,,, kuna shaka hapa
Thank you!Take ur time mkuu ujibu maswali. Ndio tuna shida ya hela lakini security ni muhimu sana.
Owk,, nmekuelewa mkuu,,, ngoja nkupigie nipate maelezo vzrWaliopiga simu wameelewa vizuri tu kama huna nia Take uar time