Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

kwenye utapeli wowote lazima atokee mtu wa pili.. kumsapot wa kwanza na kujifanya hawajuani.. wewe ni part of the team. hata kama umekasirika ila ukweli unaujua moyoni mwako.. mkopo bank gani ukipewa unapewa cheque kubwa hivyo kama umeshinda biko?

hapo mlikuwa kwenye promotiona strategy.. wewe ni mwenzao unajifanya huwajui

Habari wakuu katika pitapita zangu humu jf nimekutana na huu uzi wa mkuu great kali binafsi nilikuwa na mawili au matatu ya kuzungumza juu ya hiyo kampuni japokuwa kila mmoja ana imani yake naomba nianze hivi mnamo tar 22/06/2018 nilikutana na tangazo la huyu jamaa na nambari zake za simu ni hizo hizo nikafanya nae mawasiliano nikihitaji mkopo wa tsh 4,000,000 nikamuuliza juu ya vigezo akinielezea finally shughuli ikaja kwenye kutuma pesa ya surveyor aje kukagua aisee kwa mambo ya mtandao yalivyo ilinichukulia takribani siku tatu kufikiria mwisho wa siku nikajitoa kimaso maso nikatuma pesa ya surveyor nikiamini kama nimehonga pesa yangu baada ya siku moja surveyor alifika ofisini kwangu na kukagua ilichukuwa siku moja kufika kwa sababu ofisi zao zipo mpanda baada ya surveyor kufika aliidhinisha mkopo wangu wa 4,000,000 kama picha inavyoonyesha hapo chini,sina la zaidi.
BARIKIWAView attachment 800855
 
kwenye utapeli wowote lazima atokee mtu wa pili.. kumsapot wa kwanza na kujifanya hawajuani.. wewe ni part of the team. hata kama umekasirika ila ukweli unaujua moyoni mwako.. mkopo bank gani ukipewa unapewa cheque kubwa hivyo kama umeshinda biko?

hapo mlikuwa kwenye promotiona strategy.. wewe ni mwenzao unajifanya huwajui
...yeah sure,..huyo ni mmoja wao mkuu
 
kwenye utapeli wowote lazima atokee mtu wa pili.. kumsapot wa kwanza na kujifanya hawajuani.. wewe ni part of the team. hata kama umekasirika ila ukweli unaujua moyoni mwako.. mkopo bank gani ukipewa unapewa cheque kubwa hivyo kama umeshinda biko?

hapo mlikuwa kwenye promotiona strategy.. wewe ni mwenzao unajifanya huwajui
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu umesema kweli kabisa, kwenye ishu ya utapeli lazima atokee mtu ajifanye hawajuani ili watu wengi waingie king, we cheque iko kama umeshinda biko
 
Hawa nishakutana nao sana ukiwaukiza ofisi zilipo wanakumbia kigamboni ada yao wanademaga elfu 80 mikopo yote kama una gharama wanakata juu kwa juu
 
Habari wakuu katika pitapita zangu humu jf nimekutana na huu uzi wa mkuu great kali binafsi nilikuwa na mawili au matatu ya kuzungumza juu ya hiyo kampuni japokuwa kila mmoja ana imani yake naomba nianze hivi mnamo tar 22/06/2018 nilikutana na tangazo la huyu jamaa na nambari zake za simu ni hizo hizo nikafanya nae mawasiliano nikihitaji mkopo wa tsh 4,000,000 nikamuuliza juu ya vigezo akinielezea finally shughuli ikaja kwenye kutuma pesa ya surveyor aje kukagua aisee kwa mambo ya mtandao yalivyo ilinichukulia takribani siku tatu kufikiria mwisho wa siku nikajitoa kimaso maso nikatuma pesa ya surveyor nikiamini kama nimehonga pesa yangu baada ya siku moja surveyor alifika ofisini kwangu na kukagua ilichukuwa siku moja kufika kwa sababu ofisi zao zipo mpanda baada ya surveyor kufika aliidhinisha mkopo wangu wa 4,000,000 kama picha inavyoonyesha hapo chini,sina la zaidi.
BARIKIWAView attachment 800855
Umekuja kwa ID nyingine kusapoti utapeli wenu, mnaona raha gani kutapeli wenzenu? labda mtawapata wajinga lkn mwenye akili hatathubutu.
 
Umekuja kwa ID nyingine kusapoti utapeli wenu, mnaona raha gani kutapeli wenzenu? labda mtawapata wajinga lkn mwenye akili hatathubutu.

HAMNA KITU HAPO,NIMEPIGA HIYO SIMU JAMAA ANABABAIKA ANASEMA YUKO MPANDA HAPA DAR HAWANA OFISI ILA KAMA NATAKA NILIPE LAKI MOJA WAMTUME INSPETOR WAO AJE AKAGUE DHAMANA SAA SABA NAPATA MKOPO.HAWA NI WEZI TU HAMNA JINA JINGINE.
 
HAMNA KITU HAPO,NIMEPIGA HIYO SIMU JAMAA ANABABAIKA ANASEMA YUKO MPANDA HAPA DAR HAWANA OFISI ILA KAMA NATAKA NILIPE LAKI MOJA WAMTUME INSPETOR WAO AJE AKAGUE DHAMANA SAA SABA NAPATA MKOPO.HAWA NI WEZI TU HAMNA JINA JINGINE.
Mpanda katavi???? Yereeeeuuuuwiiii ...hawa wamezidi kwa kweli. .akitaka hiyo laki akate baada ya kutoa mkopo otherwise hapati mtu tabu hapa
 
Vitendo vya uhalifu na mbinu mbalmbal za utapeli ni viashilia vya maisha magum mtaani
 
inabidi kuwa makini maana sijawai ona unapewa mkopo bila riba sijui hii

ofisi zenu ziko wapi nije hapo nina maswali mengi nataka kuwauliza
 
Ukiishalipa hiyo ada utapewa ji-form kuuubwa ulijaze kisha utaambiwa hujakidhi vigezo!!!bongo mchezo huu upo sana refer tunayoyasikia kwenye matangazo ya shule na kuuzwa viwanja vinavyosimamiwa na serikali etc...

Utakuta wanatafutwa wahusika mfano 100,karatasi zinatoka 300 nyie 200 kama hamkukidhi vigezo pesa zenu elf20 sijui elf10 mtaenda kuwadai babu zenu huko waliko.

Watakaoingia kwa hawa jamaa wawe makini kidogo wasije wakawa wao ndo fursa ya hiyo kampuni.
kwa ujumla huu ni utapeli wa aina yake hawa watu wanataka wajitajirishe wao
 
Back
Top Bottom