Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Ahahahaha. Kwa jibu lako hili kweli hapa kuna upigaji. Hii ina mana kuwa naweza kulipa laki moja kwenu afu surveyor akija kunikagua akanikuta sina vigezo unamanisha mtarudisha laki moja yangu papo hapo kabla surveyor hajaondoka. Huoni kama mtapata hasara?
Hainingii akili!!!!
 
Ada ya fomu ya nini? Hapo ndipo utapeli ulipo
 
hawa wezi wameshawapiga sana watu mbezi huko na sasa wapo humu wezi hawaa waliwapiga watu sana kwa hada ya kujiunga alafu akuna mikopo wala nini
 
hawa wezi wameshawapiga sana watu mbezi huko na sasa wapo humu wezi hawaa waliwapiga watu sana kwa hada ya kujiunga alafu akuna mikopo wala nini
Sijui wamepata wapi ujasiri huu wa kuweka post ya kitapeli humu Jf ambapo idadi kubwa ya waumini wake ni watu na akili zao timamu, huko fb wanatumia hadi majina ya viongozi WA kitaifa na picha zao kuhamasisha utapeli kwa njia za vicoba, Ndio hawa hawa! Wamewapiga kweli huko.
 
Hiyo ni chek ya mkopo niliopatiwa halafu bandugu ni hivi sihitaji maswali zaidi mimi nilichoongea kimejitosheleza kabisa akili vichwani mwenu

Ha ha ha sijawahi kuona check ya namna hii
 
Baada ya kichambo cha haja kaingia mitini
 
Huyu naye jamaa tapel tu mchunguzeni hana lolote hizo forum nilizikuta group la whatsapp ukituma hela huwakuti tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…