Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

Mleta mada tusaidie na hili jibu, linaweza kuwa kishawishi kwa wanunuaji.
Yes -Mkuu nimemjibu nimemuuliza aina ya konteina analohitaji kusafirisha ni futi 40 au 20?

Gharama zaweza kutofautina Kuto kana na ukubwa wa mzingo .
 

Mkuu gharama zipo hivi Kwa futi 20

Grade A 4.5 million
Grade B. 4.3 million
Grade C 4. Million

Ila Kwa upande wa grade c kuna punguzo kidogo badala ya mil 4 unaweza kujipatia konteina lako Kwa 3.9 million

Karibu.
 
Yes -Mkuu nimemjibu nimemuuliza aina ya konteina analohitaji kusafirisha ni futi 40 au 20?

Gharama zaweza kutofautina Kuto kana na ukubwa wa mzingo .
Sisi watanzania tu a mapungufu kadhaa kwenye shughuli zetu za kila siku. Hatuwi serious na kile tunachofanya.

Mfano wewe ni Muuzaji wa makontena sijui una uzoefu kiasi gani lakini unapaswa kukijua kitu nje ndani.

Kabla Mteja hajauliza wewe unakua tayari unajua gharama ya kusafirisha angalau hata kwa makadirio tu.

Sasa anakuuliza wewe unauliza tena et 20 kwa 40?

Kwanini hujui bei ya kusafirisha kwa aina zote za makontena?..Kwa nini hujui magari au kampuno gani zinaweza kusafirisha na destination zipi?

Unapaswa kutwambia mtu akinunua Dar kwenda Tabora inaweza kumgharim mathalani laki tano. Akienda Mbeya mathalani laki 6. Na ukampa na connection namna ya kusafirisha kw urahisi. Hapa watu wana hamu ya kununua lakini wanapata wasi wasi namna ya kuwafikia.
 
Sisi watanzania tu a mapungufu kadhaa kwenye shughuli zetu za kila siku. Hatuwi serious na kile tunachofanya.

Mfano wewe ni Muuzaji wa makontena sijui una uzoefu kiasi gani lakini unapaswa kukijua kitu nje ndani.

Kabla Mteja hajauliza wewe unakua tayari unajua gharama ya kusafirisha angalau hata kwa makadirio tu.

Sasa anakuuliza wewe unauliza tena et 20 kwa 40?

Kwanini hujui bei ya kusafirisha kwa aina zote za makontena?..Kwa nini hujui magari au kampuno gani zinaweza kusafirisha na destination zipi?

Unapaswa kutwambia mtu akinunua Dar kwenda Tabora inaweza kumgharim mathalani laki tano. Akienda Mbeya mathalani laki 6. Na ukampa na connection namna ya kusafirisha kw urahisi. Hapa watu wana hamu ya kununua lakini wanapata wasi wasi namna ya kuwafikia.
Huu ni ukweli mchungu, anarukaruka tu badala ya kujibu swali.
 
Sisi watanzania tu a mapungufu kadhaa kwenye shughuli zetu za kila siku. Hatuwi serious na kile tunachofanya.

Mfano wewe ni Muuzaji wa makontena sijui una uzoefu kiasi gani lakini unapaswa kukijua kitu nje ndani.

Kabla Mteja hajauliza wewe unakua tayari unajua gharama ya kusafirisha angalau hata kwa makadirio tu.

Sasa anakuuliza wewe unauliza tena et 20 kwa 40?

Kwanini hujui bei ya kusafirisha kwa aina zote za makontena?..Kwa nini hujui magari au kampuno gani zinaweza kusafirisha na destination zipi?

Unapaswa kutwambia mtu akinunua Dar kwenda Tabora inaweza kumgharim mathalani laki tano. Akienda Mbeya mathalani laki 6. Na ukampa na connection namna ya kusafirisha kw urahisi. Hapa watu wana hamu ya kununua lakini wanapata wasi wasi namna ya kuwafikia.

Samahani Sana mkuu Kwa hilo

Utaratibu huwa huko hivi mkuu

Ukiwa mfano unahitaji kusafirisha konteina huwa tunawasiliana na mwenye mzigo ili kupunguza gharama

Mfano konteina lako utaweka mzigo fulani ndani yake then mwenye mzigo na mwenye konteina mtashare cost ili kupunguza gharama .

bei ya mbeya inaweza kuwa 2.5 million Ila mkishare cost gharama itakuwa million 1 na laki mbili na nusu
 
Samahani Sana mkuu Kwa hilo

Utaratibu huwa huko hivi mkuu

Ukiwa mfano unahitaji kusafirisha konteina huwa tunawasiliana na mwenye mzigo ili kupunguza gharama

Mfano konteina lako utaweka mzigo fulani ndani yake then mwenye mzigo na mwenye konteina mtashare cost ili kupunguza gharama .

bei ya mbeya inaweza kuwa 2.5 million Ila mkishare cost gharama itakuwa million 1 na laki mbili na nusu
Asante kwa majibu mazuri hivi ndivyo inatakiwa.

Mungu akuinue ktk kazi yako.

Insha Allah
 
Tupe bei ya zote mbili mkuu

Kuhusu gharama za usafirishaji wa konteina huwa zipo hivi

Kutoa konteina DSM to mbeya huwa ni wastani wa kiasi cha 2.5-3Million

Ambacho huwa tunafanya huwa tunatafuta MTU mwenye mzigo anayepeleka mzigo eneo ambalo konteina linabidi kufika then huo mzigo wake tunauingiza katika konteina lako Kwa lengo la kufanya cost sharing ili kupunguza gharama

Nb njia hii huwa sio lazima kwa kila MTU maana wengine husafirisha konteina zao pasipo kuhitaji kush are gharama na MTU yeyote.

Nadhani mkuu utakuwa umenielewa.
 
Back
Top Bottom