Karibu sana Mwenezi Paul Makonda ndani ya Songwe

Kwetu Songwe

Member
Joined
Feb 5, 2024
Posts
10
Reaction score
7
Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Songwe wanatarajia kumpokea Katibu Mwenezi Taifa ndugu Makonda kuanzia hapo kesho tarehe 06/03-2024. Ukiwa kama mkazi wa Mkoa huu wenye fursa nyingi,unakaribishwa kuhudhuria mikutano ya mwenezi wetu taifa.

Karibuni sana,Kidumu chama cha Mapinduzi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…