Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Countless blessings to you sweet heart..HEri nawe rafiki😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Countless blessings to you sweet heart..HEri nawe rafiki😍
Eti, Be calm nadanganya?
Ndo naamka hapa, tokea nilipolala jana saa 2 usikuHappy New Year
2025 ukawe mwaka wa Baraka na Mafanikio 🙏🏻 Bantu Lady
Leejay49 Manyanza min -me Mr Q ephen_ Carleen
View attachment 3189656
🤣🤣 Khaa. Jamani kwani Uzee dhambi msituchanganye hebuHappy New year Fake P Dr Restart ndo mnazeeka hivyo
Kwamba wewe unarudi udogoni?Happy New year Fake P Dr Restart ndo mnazeeka hivyo
Bado nakula pilau la nyuu hiya kwanza ntakushtua hapa hapa 😹Bado tu unanoa panga? Niambie nije PM faster
Wewe bwana unachelewesha mambo aseeh. Mizuka ishapanda huku ohoooBado nakula pilau la nyuu hiya kwanza ntakushtua hapa hapa 😹
😹😹😹Wewe bwana unachelewesha mambo aseeh. Mizuka ishapanda huku ohooo
Naona ulikuwa unaningoja kwa hamu, haya una mupya gani?? 😹😹Ayatul munafiq thalatha😂😀😃😃😃😃😃
Si bora niote najua nimemaliza uko uko ndotoni😹😹😹
Utaota shauri yako.!!
Tusamehe sana mkuu min -me, sisi akili ndogo tumekuelewa🤣🤣Dah kwa mimi binafsi maisha nimeamua kuyapa thamani ya furaha , japo kuna changamoto ila nimeamua pia kuziweka kama nafasi ya kujifunza tu ,hivyo mda wote nafurah tu, na nina penda kila mtu bila kujali anachokiwaza, japo humu watu wanaotumia hisia ya mihemko na hasira nawachukulia akili ndogo , japo pia wanaweza wasiwe hivyo, ila kwangu mimi nimeona niwachukulie hivyo tu 🤔🤔
Kaka siku hii nilikuwa na vitu vyangu kichwani nikaropoka ukweli 😁
Mbona umeandika vizuri tu mangi!🤣Kaka siku hii nilikuwa na vitu vyangu kichwani nikaropoka ukweli 😁