Karibu tufanye countdown kuelekea Tarehe 1, January 2025.

Ayatul munafiq thalatha😂😀😃😃😃😃😃
Naona ulikuwa unaningoja kwa hamu, haya una mupya gani?? 😹😹
Pilau ushaivisha nije kula??

Mara umeniignore hunioni ila kivuli changu kikifika na wewe huyo, we itakuwa unaniotaga usiku unaweweseka nakukaba 🤣🤣🤣
 
Fellas muwe na mwaka mpya mwema. 2025 usivumilie ujinga, throw them out!
 
Tusamehe sana mkuu min -me, sisi akili ndogo tumekuelewa🤣🤣

Happy new year mtani, mangi, bwashee🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…