Karibu tujadili fursa mbalimbali za kiuchumi, kibiashara, ujasiriamali na uwekezaji ndani ya nchi yetu

Karibu tujadili fursa mbalimbali za kiuchumi, kibiashara, ujasiriamali na uwekezaji ndani ya nchi yetu

Nafaka ipi? Na vipi kuhusu soko? Na nikifika nauza mzigo wote kwa pamoja ama nauza kwa mtindo wa reja reja? Maswali ni mengi sana jibu kwanza hayo ikiwezekana nije huko wiki hii.
Ukiwa na mtaji kuanzia 828k unaweza ukaanza na magunia kumi.. hiyo nimekupigia na gharama zote za kuchukua mzigo kijijini,mifuko usafiri pamoja na ushuru...
 
Mimi binafsi niko nauza mahindi na maharage japo nimestop kidogo siku mbili hizi naona bei sio rafiki sana... ila kwa msimu wa mavuno kuanzia mwezi wa nne hadi mwezi wa 10 mwaka huu kijijini nilikua nachukua mahindi kwa tsh 500@kg ambayo kwa gunia la kg120 ilikua ni tsh60000,ukiweka na usafiri, watu wa kupakia na kushusha kwenye gari,vifungashio pamoja na ushuru ilikua inakuja almost tsh82800 kwa kila gunia, na mjini nauza kwa bei ya tsh800@kg maanake 96000 kwa kila gunia..maanake kwa kila gunia nilikua napata faida tsh13200... kuhusu soko halina shida kwasababu ikitokea kijijini bei imepanda na mjini inapanda na ikitokea imeshuka basi inashuka kote... cha kuzingatia unatakiwa tu uwe na madalali kote mjini na kijijini ili ukifika na mzigo unauza chap na kugeuza, na kijijini ni hivyohivyo ukipakia tu mzigo dalali aanze kukukusanyia mzigo mwingine... ukiwa makini unaweza ukaenda hata trip tatu kwa wiki na faida yake ni nzuri mno... karibu [emoji120][emoji120]

Mkuu unaweza ukanicheki pm
 
Mimi binafsi niko nauza mahindi na maharage japo nimestop kidogo siku mbili hizi naona bei sio rafiki sana... ila kwa msimu wa mavuno kuanzia mwezi wa nne hadi mwezi wa 10 mwaka huu kijijini nilikua nachukua mahindi kwa tsh 500@kg ambayo kwa gunia la kg120 ilikua ni tsh60000,ukiweka na usafiri, watu wa kupakia na kushusha kwenye gari,vifungashio pamoja na ushuru ilikua inakuja almost tsh82800 kwa kila gunia, na mjini nauza kwa bei ya tsh800@kg maanake 96000 kwa kila gunia..maanake kwa kila gunia nilikua napata faida tsh13200... kuhusu soko halina shida kwasababu ikitokea kijijini bei imepanda na mjini inapanda na ikitokea imeshuka basi inashuka kote... cha kuzingatia unatakiwa tu uwe na madalali kote mjini na kijijini ili ukifika na mzigo unauza chap na kugeuza, na kijijini ni hivyohivyo ukipakia tu mzigo dalali aanze kukukusanyia mzigo mwingine... ukiwa makini unaweza ukaenda hata trip tatu kwa wiki na faida yake ni nzuri mno... karibu [emoji120][emoji120]
Mkuu safi sana.
Unaweza nicheck PM, Tuongee kidogo.
 
Back
Top Bottom