Karibu tujadili fursa mbalimbali za kiuchumi, kibiashara, ujasiriamali na uwekezaji ndani ya nchi yetu

Nafaka ipi? Na vipi kuhusu soko? Na nikifika nauza mzigo wote kwa pamoja ama nauza kwa mtindo wa reja reja? Maswali ni mengi sana jibu kwanza hayo ikiwezekana nije huko wiki hii.
Ukiwa na mtaji kuanzia 828k unaweza ukaanza na magunia kumi.. hiyo nimekupigia na gharama zote za kuchukua mzigo kijijini,mifuko usafiri pamoja na ushuru...
 

Mkuu unaweza ukanicheki pm
 
Mkuu safi sana.
Unaweza nicheck PM, Tuongee kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…