Car4Sale Karibu uagize kutoka Be forward!

Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri.Ni option ipi nzuri mbadala wa hyo kwa europian cars?
 
Sikujua hili la negotiation kama lipo , nisamehe bure , huko mbele ninaweza kuwa mteja wako japo naishi Dar na ofisi yako ipo Mbeya ., kuna elements fulani umezieka kwenye biashara yako zinanivutia somehow , installments!!!
Tupo pamoja
Kipekee nikushukuru, na karibu sana sana mzee !
 
2006 Nissan X-Trail

1,990 CC

96,235 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 13,900,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,500,000/=


Gari yako unaletewe.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097





 
2004 Toyota Ist

1,290 CC

51,910 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 13,400,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,700,000/=


Gari yako unaletewe.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Tofauti gani ya kigarama atapata mteja aliyeagiza kwa mtandao moja kwa moja yeye binafsi au kupitia kwenu mawakala?
 
Nina tax exemptions za consular department nikiagiza gari silipi kodi. Hili mnafanya ???
 
Tofauti gani ya kigarama atapata mteja aliyeagiza kwa mtandao moja kwa moja yeye binafsi au kupitia kwenu mawakala?
Ukiagiza wewe binafsi,
Utapaswa kulipia 100%

Lakini mfano ukiagiza kupitia sisi, unapata kulipa kwa awamu tatu
Hii inamaana kwamba, tunakusaidia kulipa gharama zingine kisha unazitejesha kwa muda tutakao kubaliana kisheria

Karibu sana.


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097
 
2006 Mazda Demio

1,290 CC

58,200 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 8,900,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 4,800,000/=


Gari yako unaletewe.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
2008 Suzuki Swift

1,290 CC

99,543 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 11,700,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 4,900,000/=


Gari yako unaletewe.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
2007 Toyota Ractis

1,490 CC

64,834 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 11,280,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 5,000,000/=


Gari yako unaletewe.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Good Morning Fam!

Ni matumaini yetu kwamba nyote mpo salama.

Tunaendelea kuwakaribisha ofisini kwetu, kwaajili ya huduma ya uagizaji magari kutoka kwa kampuni bora kabisa yaani Be forward!

Karibuni sana.
 
2010 Toyota Corolla Rumion

1,490 CC

106,599 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 14,300,000/=/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,500,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Mkuu kweli una over price. Rumion kwa Bongo showroom ni 14mil, Tena ambayo haijatumika Bongo (imported).

Labda sababu soko lako liko Mbeya basi poa haina noma
 
Kama ninayo hela full, total cost ya nikiagiza Mwenyewe v/s total cost ya ukiniagizia Wewe tofauti yake ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…