Karibu umalizie nyumba kwa mkataba kisha uhamie. Nahama kikazi

Karibu umalizie nyumba kwa mkataba kisha uhamie. Nahama kikazi

Habari za mchana wadau wenzangu wa Jamii Forums.
Iko hivi,
Nilihamishwa Dodoma kikazi mwaka 2019.
Na sasa nimepata uhamisho wa kwenda jijini Mbeya.

Wakati naishi huku Dodoma, nilibahatika kujenga nyumba ila kutokana na majukumu kunizidia nikajikuta nashindwa kuimalizia vyema.

Sasa nakuja kwenu wana Dodoma mnisaidie kitu kama inawezekana.
Je, naweza pata mtu wa kupanga hio nyumba kwa makubaliano kuwa aimalizie finishing kisha ahamie?
Tupigiane mahesabu kuwa ametumia kiasi gani ili tukae chini tujue tunafanyaje?

Pia naweza kumuachia aendelee kukaa bure kama ataimalizia ili aendelee kuniangalizia.
......Hii ni kama Ofa......

Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama),

Ina public toilet,
Ina jiko,
Ina stoo.
Ina sebule kubwa.

Nyumba nimeshaipaua tayari na ina vyoo ndani (master kubwa ina choo cha kukaa, public na master ingine ina vyoo vya kuchuchumaa) Vyote vipya.

Nimeshafanya hatua za awali za wiring bado kuingiza nyaya kwenye switch tu.

Nimeshafanya brandering kwa ajili ya gypsum

Karo la choo na chemba zake ziko tayari.

Ina madirisha ya grill na mageti mawili (la mbele na nyuma yenye vitasa vya funguo)

Na mbele ya nyumba kuna eneo kubwa tu limebaki kwa ajili ya ufugaji au kililo akitaka mpangaji.

Atakachomalizia yeye mpangaji.
1. Madirisha ya aliminium
2. Plasta ndani na nje
3. Mlango wa mbele na wa nyuma
4. Kama ataweka gypsum sawa.
5. Kuingiza nyaya za umeme kwenye switch.

Mahali nilikojenga ni Ndachi, hospitali mpya ya Jiji la Dodoma.
Kumejengeka na huduma zote muhimu za kijamii zipo.

Je, naweza pata mtu wa kufanya hivi hapa Dodoma?
Karibuni kwa ushauri, maoni au maswali.
Picha zinakuja hivi punde.
Finishing ndio ujenzi wenyewe na Vifaa vyake huanza kutajwa kwa Kiinglish!!
 
Habari za mchana wadau wenzangu wa Jamii Forums.
Iko hivi,
Nilihamishwa Dodoma kikazi mwaka 2019.
Na sasa nimepata uhamisho wa kwenda jijini Mbeya.

Wakati naishi huku Dodoma, nilibahatika kujenga nyumba ila kutokana na majukumu kunizidia nikajikuta nashindwa kuimalizia vyema.

Sasa nakuja kwenu wana Dodoma mnisaidie kitu kama inawezekana.
Je, naweza pata mtu wa kupanga hio nyumba kwa makubaliano kuwa aimalizie finishing kisha ahamie?
Tupigiane mahesabu kuwa ametumia kiasi gani ili tukae chini tujue tunafanyaje?

Pia naweza kumuachia aendelee kukaa bure kama ataimalizia ili aendelee kuniangalizia.
......Hii ni kama Ofa......

Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama),

Ina public toilet,
Ina jiko,
Ina stoo.
Ina sebule kubwa.

Nyumba nimeshaipaua tayari na ina vyoo ndani (master kubwa ina choo cha kukaa, public na master ingine ina vyoo vya kuchuchumaa) Vyote vipya.

Nimeshafanya hatua za awali za wiring bado kuingiza nyaya kwenye switch tu.

Nimeshafanya brandering kwa ajili ya gypsum

Karo la choo na chemba zake ziko tayari.

Ina madirisha ya grill na mageti mawili (la mbele na nyuma yenye vitasa vya funguo)

Na mbele ya nyumba kuna eneo kubwa tu limebaki kwa ajili ya ufugaji au kililo akitaka mpangaji.

Atakachomalizia yeye mpangaji.
1. Madirisha ya aliminium
2. Plasta ndani na nje
3. Mlango wa mbele na wa nyuma
4. Kama ataweka gypsum sawa.
5. Kuingiza nyaya za umeme kwenye switch.

Mahali nilikojenga ni Ndachi, hospitali mpya ya Jiji la Dodoma.
Kumejengeka na huduma zote muhimu za kijamii zipo.

Je, naweza pata mtu wa kufanya hivi hapa Dodoma?
Karibuni kwa ushauri, maoni au maswali.
Picha zinakuja hivi punde.
Umekuwa muungwana na Mzalendo. Ubarikiwe sana. Huyo utakayemkabidhi nyumba hakikisha mnaandikishiana kwa mwanasheria na serikali ya mtaa ili wema wako; usikuponze. All the best
 
Back
Top Bottom