Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
- Thread starter
- #41
Asante sana mkuu Manyanza kwa kunisaidia.Roho mbaya na upuuzi mwingi haukujengi fala wewe. Dada anajulikana na yuko verified na taarifa zake uongozi wa Jamiiforums unazifahamu.
Endelea hivyo hivyo na ikiwezekana jifunze na uchawi fala wewe
Wakatisha tamaa wapo wengi tu humu.
Cha msingi ni kuacha kuwajibu ili tuone watafaidika na nini.
Asante sana kaka kwa kunisaidia