Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Tupiamo ka 📸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakwenda Ndachi Kupiga Yupo Kwenye BodaTupiamo ka 📸
Madalali wa Dodoma kwa ishu kama hizi wanasema huwa zinakuwa na sintofahamu ya mgawanyo maana wanasema wanataka robo bei ya mmaliziaji na mimi mmiliki.Lkn nadhani ongea na madalali wanaweza kukusaidia kirahisi sana.
Ni wazo zuri sana, ila najua ujenzi ni wewe mwenyewe na si fundi au ndugu.Mimi nadhani endelea kuikamilisha taratibu hata ukiwa mbali bila hivi unavyotaka.
Roho mbaya na upuuzi mwingi haukujengi fala wewe. Dada anajulikana na yuko verified na taarifa zake uongozi wa Jamiiforums unazifahamu.hapa pana harufu ya utapeli mixer janjajanja
Kwani kujulikana ndio nini?Hakuna utapeli, huyu dada anajulikana humu.
Hao wahuni hatari wapo maeneo ya Ununio. Wamakonde wanaishi kwenye ghorofa ambalo hawafanani nalo 🤣🤣🤣Kila la heri madam ila kwanini usimalizie taratibu au uuze?
Kuna wale wahuni wa kukufanya upasahau kwako kabisa na mifano ipo mingi.
Asante sana.Kila la heri madam ila kwanini usimalizie taratibu au uuze?
Kuna wale wahuni wa kukufanya upasahau kwako kabisa na mifano ipo mingi.
Madame B Fuata ushauri huuKila la heri madam ila kwanini usimalizie taratibu au uuze?
Kuna wale wahuni wa kukufanya upasahau kwako kabisa na mifano ipo mingi.
Atakuwa Anarudi Dodoma Kuendeleza UjenziMimi nadhani endelea kuikamilisha taratibu hata ukiwa mbali bila hivi unavyotaka.