Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Hizo muhimu.
Lazima niwe nazo shoga.
Maisha ya Mbeya naenda kuyaanza nikiwa sijui pa kuingilia wala kutokea.
Ila Mungu yu mwema....nitaishi, sitatetereka
Unaenda Wilaya gani ama ni pale Jiji?Kupanga nyumba nzima kwa sasa sidhani maana nahamia mimi mwenyewe
Atleast chumba na sebule kwanza
Ndio ya dunia yalivyo madame, usiogope ila ni vyema sana kuishi kwa tahadhari, umefanya vyema sana kushirikisha wadau imekua faida kwako kujua kitu kipya.Aisee.
Ni hatari sana sana sana.
Hadi nimeogopa asiee
Na huko Mbeya ukianza kujenga tu,kabla hujamalizia mjengo wako tunakuhamishia Tabora! Mi nakushauri nunuwa zile nyumba za mobile, ukiamishwa kituo cha kazi unahama na nyumba yako!!Asante sana.
Nashukuru kwa kupata mwenyeji.
Soon nitakuwa kwenu.
Asante sana.
Nitakupa majibu ya beiSqm 554 mpwa
Shida yako ww si unataka kusikia wenye bluetick wenzako tu, na watu tunakufahamu tangu huna hiyo bluetick. Na watu dodoma hapo tumepelekwa na tumetoka tumeacha viota kadhaa.Naomba nifafanulie vyema.
Naweza badili nia.
Kiraka?🤔
siumesema ukimleta ndg yako Toka kijijini itabidi uwe unamgharamia ...Sasa hilo usiogope wewe kamlete gharama hizo unazoogopa ..nitatoa Mimi kwa niaba yako ...undugu kufaanaSijakuelewa bado.
Yaani gharama za ndugu yangu uziishi wewe?
Au nimekuelewa vibaya?
Kabisa, kabisa, kabisa.Ndio ya dunia yalivyo madame, usiogope ila ni vyema sana kuishi kwa tahadhari, umefanya vyema sana kushirikisha wadau imekua faida kwako kujua kitu kipya.
Dah😅 ya kuwashia heater,yaonekana kuna baridi si mchezo.Madame B, bora upewe elfu 30 kwa mwezi ununulie luku Mbeya kuwashia heater 😂, watu wakukaa wapo wengi tu tafuta taratibu. Usiuze wala kugawana ujenzi,
Au hutaki upate sababu ya kuja Dom kumcheki mpangaji 😂
Bakiza mjengo Ndachi wa Kustaafia 😂