Pia,. Sijaweka mabadiliko ya bei Muda Sasa sababu bei haipo stable ,sababu kuu ni mipaka kutokufungwa, so Mazao mengi bei imebakia vilevile na mengine kama Mchele kupanda zaidi,,,,mpunga shambani kwa Sasa ni sh elfu themanini mpaka Laki na Bado haupatikani, maindi Debe kumi na nne, mjini ,shamba kumi na Moja Hadi kumi mia Tano kwa Debe, ,,,,kwa hiyo inawezekana mwaka huu mwezi wa kumi na mbili vyakura vikawa bei zaidi ya mwaka Jana. Kama una sehemu unaweza nunua Sasa hivi,nunua utunze, mfano mpunga,maindi na maharage,
Tuko pamoja