Kwanini usiuze kwa bei anayotaka mmilikia ukalipwa percent yako hadi upandishe bei hovyo hovyoContena
Ft 20
Mil 4
Ft 40
Mil 8
Lipo lenye friji pia mil 18
Unaweza kuligeuza
Duka
Nyumba ya kuishi
Kubebea Samaki
Ukabebea mzgo kwenye gari lako
0767-2410001whatsupView attachment 1132144View attachment 1132145View attachment 1132146View attachment 1132147View attachment 1132148
Bei anatoa muuzajiKwanini usiuze kwa bei anayotaka mmilikia ukalipwa percent yako hadi upandishe bei hovyo hovyo
Hivi huoni kwamba unaweza kumcheleweshea mwenye mali yako kuuza pia unamuumiza mteja wako?
View attachment 1132494
Bei anatoa muuzaji
Buhongwa chumba Sebure lk moja mkuuBuhongwa chumba self na sebure kubwa, public toilet ndani ya geti,karibu na barabara bei isizidi 50. Kama vipo weka picha mkuu
Haka hakapo ndani ya fensi? Na vipi kashatembea?Nyegezi stendi!!!
Chumba,sebure&choo ndani
Maji& Umeme 24/7
Kisima kipo kama
maji yatakatika
Dakika 10 toka stendi Nyegezi
Bei lk1 kwa mwez x 6 =600,000/=
0767-241001
0620-690670
NB
Njoo umejiandaa,
tueleze sifa za Nyumba unayotaka,wapi,Bajeti
yako (Kupitia what's up yetu VD)
sisi kazi yetu n kukutafutia
View attachment 1126571
Sawa ila vipi kwa mahitaji niliyoorodhesha hapo?Buhongwa chumba Sebure lk moja mkuu
Kidula kamisha tembea hako mkuuHaka hakapo ndani ya fensi? Na vipi kashatembea?
Unamponitaftia nyumba/au vyumba kuna kamisheni napaswa kukupa?Hapana kk
Zipo nyingi tu zenye sifa exactly kama unayosemaSawa ila vipi kwa mahitaji niliyoorodhesha hapo?
Nyumba zipo nyingi sana kuanzia Mkuyuni,eseni,Nyegezi ,Buhongwa,Ghana nk karibuUnamponitaftia nyumba/au vyumba kuna kamisheni napaswa kukupa?
Kapi hako nimeppst majumba mengi qoute picha??Kidula kamisha tembea hako mkuu
Haka kana chumba Sebure master,ndani ya fensi lk moja kapo Nyegezi hapo dakika tano toka Barabarani Mkuu Laki moja kwa mweziSawa ila vipi kwa mahitaji niliyoorodhesha hapo?
Vpo kila kona hivyo lkn sio master mkuuNahitaji chumba kimoja mwanza bei isizidi 40k
Sawa mkuu niongeze picha zaidi tafadhali nione size40 elfu Mkuyuni hicho
Madirisha slide,fensi,maji,Umeme 24/7View attachment 1133129
Anapokea miezi mingapi? Mitatu anakubali?40 elfu Mkuyuni hicho
Madirisha slide,fensi,maji,Umeme 24/7View attachment 1133129
Miezi sita Mkuu,Utalipa kodi ya mwezi mmoja kwa dalali Na Ten ya kupelekwa kuiona baada ya kulizishwa nayo ktk pichaAnapokea miezi mingapi? Mitatu anakubali?
Kuna gharama ada yoyote ambayo inabidi nikulipe tofauti na kodi? Kama ipo ni kiasi gani.