nyumbanzuribeinzuri
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 2,144
- 276
- Thread starter
-
- #121
Kila Moja ni Mil15 katika hizo mbiliNyangomango hako keupe
Vyumba Viwili
sebure
Eneo KUBWA kabisa
Maji/umeme vinakalibia kufika(Rea 27,000/=)
Bulare hiyo yenye Bati za Msauzi
BULALE
Vyumba 3
Sitting room
Haijaisha
Eneo KUBWA
Mil 15
0767-241001
0620690670
NB
Taja Nyumba ya uwezo wako,mahali sisi kazi yetu kukutafutia kulingana NA sifa zako
Vyumba Vya kupanga au kuishi vipo KILA KONA MwanzaView attachment 1121525View attachment 1121526
Ongezea na haka kamsaki chembaBuhongwa
Olympics sheli
Vyumba 2
Sebule kubwa
Jiko lipo nje
Ndani ya fensi kubwa
Choo ndani kwa ndani
Dakika 1 barabara kuu
Mil 2 kama utalipa kwa mwaka
Kama n miezi 6 ni m 2.5/2
0767241001
0620690670
View attachment 1121655View attachment 1121657View attachment 1121658View attachment 1121659View attachment 1121662View attachment 1121664View attachment 1121666
Mkuu mm nahitaji kiwanja maeneo ya mahina kati. Bajeti yangu ni 5m .Suprise!!!!
Ninakanyumba kaa ajabu
Vyumba Viwili
Sebelu kimoja master
Kako kwenye Mawe
Hakajaisha vizuri,
MTU anaishi na Mke wake
Maji yapo
Umeme umekatiza hapohapo
Nasema hakuna umeme(ingawa umekatiza hapo)
kufika barabara kuu dakika 5
Kwa miguu
Buhongwa Olympic
Kiwanja 20*25 kina BIKONI
Bei Mil 6 haishuki hata mia
Hapa unakaa wkt umechoshwa na kero za wenye NYUMBA
Sawa Mkuu, njoo what's upMkuu mm nahitaji kiwanja maeneo ya mahina kati. Bajeti yangu ni 5m .
Alafu pia nahitaji nyumba ta kupanga maeneo hayo ya mahina
Mkuu hii hujaeleza kama ina jiko pia ni Nyegezi ipi ilipoNyegezi
Vyumba 2
Ndani ya fensi
Sebule kubwa
Miezi 6
Bei mil 1.4
0767-241001
0620-690670
View attachment 1123098View attachment 1123099View attachment 1123102
Jiko lipo kwa nje MKUU,linageti kabisa kwa hiyo unaweza kuyafungia huko huko Magesi, VYOMBOMkuu hii hujaeleza kama ina jiko pia ni Nyegezi ipi ilipo
Nyegezi Karifonia MKUUMkuu hii hujaeleza kama ina jiko pia ni Nyegezi ipi ilipo