Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Umbali toka barabara kuu ukoje mkuuNyegezi Karifonia MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbali toka barabara kuu ukoje mkuuNyegezi Karifonia MKUU
Dakika tano kwa miguu nyuma tu ya kamanga H.Umbali toka barabara kuu ukoje mkuu
SawaDakika tano kwa miguu nyuma tu ya kamanga H.
Karibu sana MkuuSawa
Maeneo ya Ghana, chumba sebure ambacho ni self contained Bei gani?Buhongwa 98% ni Nyumba MPYA
Chumba master single
range 50-70elfu
Lkn chumba na sebure andaa range 80-120 elfu
Bei HIZO nyingine mkuyuni &Butimba,
70-100 MKUUMaeneo ya Ghana, chumba sebure ambacho ni self contained Bei gani?
KrbuMaeneo ya Ghana, chumba sebure ambacho ni self contained Bei gani?
Asante sana Mkuu,Nahitaji chumba master nikipata na kajiko itakuwa poa sana, maeneo ya Nyegezi, Nyakato, Igoma, Nyamongoro au kisesa kabisa bei isizidi 50000, mwezi wa saba mwishoni.
Hongera nimependa unavyofanya kazi.
Ila tu punguza kuandika kwa kifupi, usiwe unasahau kuandika bei na picha hasa nyumba/vyumba vya kupanga.
Umbali gani toka barababara kuu? Vyumba vitatu kimoja self na pawe na public toilet. Bei isizidi 40Bajeti yako ipoje kk, na unata lini??vyumba navyo huko vingi tu
0767-241001Umbali gani toka barababara kuu? Vyumba vitatu kimoja self na pawe na public toilet. Bei isizidi 40
Bei ya 40 Vyumba vi3!!! Samahani, Sina hiyo nyumba MkuuUmbali gani toka barababara kuu? Vyumba vitatu kimoja self na pawe na public toilet. Bei isizidi 40
Nyangomango,Nyashishi,Burale,sawe huko kote vipo viwanja krbn sanaUsagara-Misungwi
Viwawanja vipo vingi sana
Ukubwa tofauti tofauti
Kuanzia 30*35 nk
Ruksa kuviunganisha
Bei inaanzia mil 2.5 nk
0767-241001View attachment 1124255