Stori 2
Page Fulani sijui ya kumi ktk huu Uzi
Kunamtu nilikura Pesa yake kwa sababu ya ubishi Wa kijinga kabisa, Mimi nimeweka nyumba hapa katika Uzi akasema hii nyumba haipo ISAMILO!!
Nikamuliza KWANINI unasema hii nyumba haipo Isamilo? akaeleza sababu zake nyingi, moja nnayoikumbuka vzr akasema hii n ya kuchora tu 3D,
Nikamwambia IPO chukua Namba yangu kwenye wall hapo, then njoo ofisini kwangu mjini ntakuonyesha,
Jamaa akachukua kweli bhana akaja (JF kunavituko sana jamaa anajiita jina LA ajabu sana lkn ukimuona n MTU mzr sana, very humble, decent&charming guy uwezi amini)
Akajitambulisha nikamuuliza ndio Ww kweli!!! akasema ndio mm nikamuambia fungua JF account kupitia hii ID (kwenye raptop fulani hapo ofcn)kweli akafungua bhana,nikaamini n yy,
Lkn hii nyumba ya mil 75 unaweza kuinunua ndugu yangu?? (msisahau nnakadegree kakufuga nyuki lkn naijua saikolojia ya nyuki wanavyokuwa hawataki usumbufu) akajibu HAPANA(very honest guy), nikamuuliza kwanini sasa unataka kuiona wkt huna uwezo nayo??
Akajibu mm siamini kama kunanyumba ya hivi!! hii n 3D picha (picha yakuchora tu)nikajibu OK
Sasa kama IPO!!akajibu nipo tayali kukupa lk 1,nikajibu kweli??
Akalazimisha Ww nipeleke nikaione, nikamuambia kama haipo mm ntakulipa lk2, nikijua labda jamaa atakata tamaa maana Na mm nnakofidensi ya AJABU SANA.
Cha ajabu jamaa akakomaa mwanzoni niliona kama utani.
Lkn badae nikagundua jamaa yupo VERY SERIOS nikamuambia twende.
Nikaweka mezani lk 2 jamaa akatoa lk 1 yake lkn akasema hawa WATU wako siwaamini watakupendelea ww kama haipo kweli(nikaona analogic kubwa), kwa bahati nzuri pembeni ya ofc yangu kuna DUKA, nikamuuliza vp yule dada wadukani unamuamini?? akajibu ndio,nikamuambia nenda kaweke kwa yule DADA pale dukani Pesa yako Na yangu akakubali bhana.
Safari ikaanza hadi Isamilo akakuta ile nyumba kama ilivyo kwenye PICHA AKASEMA KWELI KK,
Tukaludi ofisini nikachukua mzigo Dukani lk 3, badae ROHO YA IMANI IKANIJIA NIKAMLUDISHIA PESA ZAKE NIKAMUAMBIA USILUDIE TENA KUHALIBU BLAND ZA WATU lkn nikampa azabu NDOGO YA TOFALI(block)
Saizi kila week end yupo ofisini namfundisha kazi,namtuma kutafuta nyumba mtaani kila ORDER mpya inapopatikana BURE, siku akijua kazi vizuri NTAMUAJIRI nakumtolea TOFALI.
NB:1-
Tajeni nyumba/Viwanja mnavyotaka mm kazi yangu ni kuwatafutia kadri ya mahitaji yenu
NB:-2
Mungu awabariki sana WATEJA WANGU, ASANTENI SANA KWA SUPPORT YENU Mwanga unaongezeka sana kila siku.
0767-241001