Karibuni Jijini Mwanza (Rock City)


Hujaongelea swala la mazeze, au hukukurupusha zeze hata angalau?
 
mji wa Mwanza wenyeji ni wachafu na washamba sana. Ila mzunguko wa hela uko vizuri kuanzia hela halali na haramu
Nimeishi Mwanza mjini kuanzia 1989 mpaka 2019
 
mji wa Mwanza wenyeji ni wachafu na washamba sana. Ila mzunguko wa hela uko vizuri kuanzia hela halali na haramu
Nimeishi Mwanza mjini kuanzia 1989 mpaka 2019
Wewe ndio mchafu na familia yako acha kusingizia wenyeji wa Mwanza.
 
Mwaka Jana nilivukia sehemu moja inaitwa KAYENZE kuna ferry pale inavusha Hadi ukerewe ni bonge moja la mji
 
Halafu Mwanza ilitakiwa njia nne kutokea usagara hadi mjini, cha ajabu waliplan kanjia kamoja tuu, sema uswazi nyingi sana milimani
Ila ni jiji lenye mandhari nzuri ya kuvutia

Daraja la Busisi kigongo likikamilika mji utakua [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…