Karibuni tupambane huku Malmö, Sweden. Malipo si mabaya

Wewe umejaa matambo na majigambo tu. Ukiulizwa kuhusu "mchongo" unakaa kimya.
Mzee baba wape ramani vijana wenzako waje kupambana. Hatusemi uwatumie pesa, hapana, bali wape ramani namna ya kupata "visa" na taratibu zake ili anayeweza basi achangamkie fursa.
 
Huijui jf wewe...! Yuko right....soma nyuzi zake malaika walivyomkarahisha...! Ngumu sana kutoa connection kwa jamii iliyo na negativity za kiwango cha mwendokasi...acha tuteseke tufe tu wabaki wenye akili postive!
 
Hapa ni updates tu za Norway hakuna connection....😁
 
Huijui jf wewe...! Yuko right....soma nyuzi zake malaika walivyomkarahisha...! Ngumu sana kutoa connection kwa jamii iliyo na negativity za kiwango cha mwendokasi...acha tuteseke tufe tu wabaki wenye akili postive!
Kwenye forum kama hii huwezi kukosa watu wenye negative attitudes.

Yeye Per Diem aweke "mchongo" , atakaye fuatilia sawa, mwenye kuponda pia sawa.
 
Kishasema haweki, aliwekaga akatukanwa akaitwa tapeli, anasema we tafuta tu mchongo ukifika Norway ndio umtafute😂😂😂
Lakini siyo yeye tu. Wabongo wote ndivyo walivyo.
Nina washikaji kibao wako Ulaya na Marekani. Lakini ikifika kwenye kupeana ramani za maisha ni wagumu balaa.

Wabongo sijui tuna shida gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…