Anamaanisha binadamu yeyote aliyechini yake na anamfanyia kaz ni MTUMWAWageni wanaokuja Tz kufanyakazi nao ni watumwa?
AiseeeHii jeuri usipokufa kwa ajali,sijui
Wengine wanateseka na vumbi la Congo, kweli maisha ni kutofautiana.Wenzako tunateseka na vumbi la kiangazi huku
BBM
Utapata UDAS mzee tulia😃Per diem nipe mchongo mdogo wako nakufaa njaa bongo, nilitegemea uteuzi simo.
Roho za kwanini tu 😅😅😅Lakini siyo yeye tu. Wabongo wote ndivyo walivyo.
Nina washikaji kibao wako Ulaya na Marekani. Lakini ikifika kwenye kupeana ramani za maisha ni wagumu balaa.
Wabongo sijui tuna shida gani.
Afu mi mwenyewe nataka nivuke ng'ambo aiseePer Diem anawanyoosha😅😅😅
haha eti tufe tu wabaki akili positive mxenge kweli wewe.Huijui jf wewe...! Yuko right....soma nyuzi zake malaika walivyomkarahisha...! Ngumu sana kutoa connection kwa jamii iliyo na negativity za kiwango cha mwendokasi...acha tuteseke tufe tu wabaki wenye akili postive!
Afu mi mwenyewe nataka nivuke ng'ambo aiseePer Diem anawanyoosha😅😅😅
Mrembo wangu kwema?Mungu akupe wepesi utimize ndoto zako. Usikatishwe tamaa na maneno ya watu wa humu
Karibu sana tukomae na box.Afu mi mwenyewe nataka nivuke ng'ambo aisee
Hao wamependaWengine wanateseka na vumbi la Congo, kweli maisha ni kutofautiana.
Wadada wapo? Nataka nije nikomae kama vidumeKaribu sana tukomae na box.
Wapo ila sio kivile,karibu sana,usisikilize watu waliojikatia tamaa humu,ambao huamini kua jambo gumu kwao basi ni gumu na kwa wengine pia.Wadada wapo? Nataka nije nikomae kama vidume
Lakini kama ameamua kutoa mkeka basi aweke mzima banaMkuu mdau alishaandika kwenye nyuzi kadhaa huko nyuma kuwa hatoi connection hadi ufike huko ndiyo umtafute
Wiki iliyopita nilileta habari ya kutoka Norway na kuja Malmo kwenye kazi. Wapo waliofurahi na kuniombea heri na wapo ambao walikasirika na kunitukana. Yote sawa.
Nipo huku kwa kazi kama zile nazofanya Norway, vibarua vya bandarini. Nilipewa huu mchongo, faster tu wala sikutaka kujiuliza mara mbilimbili kwa kuwa kusafiri hivi ni mwanzo wa pia kuongeza uwezo wangu. Ila baada ya wiki kazi ikiisha narudi tena home Norway kupiga mzigo.
Malmo ni pazuri sana sijui hata nielezaje, wenzetu kweli wanafanya kazi kujenga nchi zao, Ila naona kama hii corona inawapa kikwazi sana.
Wenzetu ni kweli hawakuwa wavivu, sijui ni lini bongo tunaweza kuja kuwa hivi.
Mtaa niliofikia ni ngumu kumkuta mtu kizembezembe barabarani au kakaa nje ya nyumba yake.
Haya ndio maisha niliyokuwa nayapenda, watu wanapaswa kuishi bila kufatiliana wala kujuajuana sana.
Kwa hakika huu ni mji mzuri sana, japo bado mgeni ila nimepapenda sana, Africans pia wapo wengi tu hasahasa niliowatambua ni Nigerians, sema ndio hivyo huwa sipendi shobo nao kila mtu afate kilichompeleka.
Hata huku mambo sio mabaya kwenye malipo, na pia kazi zipo sana tu ila ni zile za unskilled.
Chini kuna picha ya nyumba-camp napoishi na mtaa ambao nilipo. Nyumba ni ya ku-share nilivyofika niliambiwa kabisa kuwa Kuna sehemu ya kulala hivyo kuhusu kodi hainihusu kabisa na hivyo sijui kabisa gharama yake kukaa kwa siku au mwezi.
View attachment 1824663View attachment 1824664