Karibuni tupambane huku Malmö, Sweden. Malipo si mabaya

Pako vizuri sana , sisi wengine tuliobahatika kupita njia hiyo tukielekea kuunganisha kwenda Denmark tunafahamu maisha ni mazuri lakini pia ujira sio mbaya, Kuna kamji kadogo down south kanaitwa Kalmar nilikaa huko kuna watu weusi wachache sana na hakuna ubaguzi tatizo connection ya kufika huko na kwa kipindi hiki cha Corona ndio balaa kabisa , kwa vijana wa bongo wanaotafuta future hivyo vimiji vidogo ndio mpango mzima lakini siyo stokholm
 
Safi mwana share vijana waangalie fursa. Lakini na shauri usikimbilie nje ukiwa hauna kitu mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…