Karim Mandonga mtu kazi, kesho sio mbali

Karim Mandonga mtu kazi, kesho sio mbali

huyu mandonga si ndiye yule bondia aliye tandikwa ngumi moja tuu (tena round ya kwanza) akaenda kuamkia hospitali?? sasa akae akijua kunyanyua vyuma na boxing ni vitu viwili tofauti, hiyo siku ni bora ambulance ikawa karibu karibu ili kuokoa Maisha yake!
 
Back
Top Bottom