OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa tunaojua boxing hii ni kawaida stunts kama hizi. Ila kibongo-bongo Mandonga kazidi mikwara. Kama una roho ndogo unaweza usitokee ulingoni.
Kesho sio mbali Mandonga Vs Kaoneka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipigwa ngumi moja tu pambano lililopita hakuamka TenaRecord yake ikoje huyu mwamba, ana vitisho vizito mno.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alipigwa ngumi moja tu pambano lililopita hakuamka Tena
Kama jamaa alivyoeleza hapo juu. Kupigwa kwake tena ndio brand itakuwa zaidiKimasihara mandonga amepata umaarufu kuliko yule aliyempiga
ameweza kujibrand
Mandonga amekuwa dili watu wengi wanataka kumsikia hawajali atashinda au atashindwa
Nampongeza kwa hilo
[emoji2][emoji2][emoji2]Alipigwa ngumi moja tu pambano lililopita hakuamka Tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anakuambia Kaoneka amedandia mtumbwi wa kibwengo [emoji23][emoji23][emoji23]
....Ha ha haaa!ulingoni, ukizingatia anayoongea!
Hata mimiNatamani huyu jamaa ashinde.