KARMA - Kidamali: Wewe Mwenyewe Ndiye

Je, bado nina haki ya kumchukia mama Maila ama niwe mpole kama mfalme Daudi?

  • Una haki ya kumchukia (we all have a past lakini alichokifanya sicho)

  • Unavuna ulichopanda (It's Karma!)

  • Nipo katikati (Matukio hayana uhusiano kwangu; so reaction zote mbili naziona justified)

  • Sijui (bado sijaamini kilichotokea, nimeshindwa kutafakari, ...)


Results are only viewable after voting.
Hah hah kile kisa ni noma

Hivi nikiwa Lindi si ndo yule jamaa mchimba chumvi aliniloga?

Ila mkuu tangu kipindi kile sijawahi kutembea na mke watu tena! Nilikoma...

Tafadhali mpendwa, sema neno zaidi nami nitapona...
Nimemaliza kusoma sasa, nilihitaji kusoma nikiwa nimetulia, mimi ni shabiki yako baada ya kuona uzi wako nikafungua nicoment wa kwanza hahaha
Hahah I am humbled mkuu!

Natumai umejifunza jambo hapo...
 
Tafadhali mpendwa, sema neno zaidi nami nitapona...

Pole sana mpendwa.
Pia asanteh sana kwa somo maana nimejifunza na kupata woga wa kutendea wengine mabaya kwasababu huwezi kujua wakati sahihi wa kukurudia hayo mabaya.

Tuishi kwa hofu, tupendane tuthaminiane na kutendeana mema siku zote za duniani, malipo ni hapa hapa.
 
Mentor, you are a real Mentor of mine, nina mengi ya kujifunza kutoka kwako
 
thank you for asking. I meant the whole karma thing. it doesn't work. it's a no no.

Mkuu, huenda kutumia neno KARMA kunakuudhi...

Naomba usome maelezo niliyoyatoa. Sijawahi kuandika kisa/mkasa na kuutolea maelezo ya kwa nini nimekiandika lakini kwa hili imenibidi niandike.


Kama huamini hiyo philosophy ya KARMA basi labda unaifahamu ile GOLDEN RULE; usimtendee mtu usilotaka kutendewa.

Ni kweli kabisa kuwa huenda yaliyonipata hayahusiani na uovu nilioutenda (maana pia kiuhalisia nimetenda mwingi zaidi ya niliyoyaandika). Lakini kuna ile dhana ya kumkasirikia mtu kwa kukutendea jambo ambalo wewe mwenyewe ukitafakari utakumbuka ulishamtendea mwingine sawa au zaidi ya hilo. Basi kwa hilo, point ya kuchukua ni kutokukasirika yanapokukuta, KARMA or no KARMA.

Lakini pia, ni mkasa ambao unatoa funzo la kutafakari sasa (NOW) yapi tunayotenda kwa watu na kujiuliza tukitendewa hayo tutafurahi? Nadhani tukienenda kwa kujiuliza hivyo ni mara chache tutaruhusu udhaifu wetu wa kibinadamu (au nia ovu) kuathiri maisha ya wengine.

Naamini wenye dini na wasio na dini wote tunakubaliana na the golden rule. Basi tusitumie kutokukubaliana nami kutumia neno KARMA kisha ukasahau somo zima la mkasa huu. Tukubaliane kuwa tujitahidi kuwatendea wengine kama ambavyo tungependa kutendewa sisi. Haiondoi maumivu ikitokea umetendwa vibaya lakini itakusaidia kupona haraka unapojua hukumtendea mwingine uovu kama huo. Lakini zaidi ni, kila mmoja wetu akijitahidi kuishi hivyo, we can make our lives here on earth 'little paradise'.


Cheers!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…