Karne ya 21 Katibu Mkuu wa CWT alikuwa mwalimu wa Daraja la 3A?

Karne ya 21 Katibu Mkuu wa CWT alikuwa mwalimu wa Daraja la 3A?

Kupata vyeo Tanzania hii uwe fundi wa ushirikina ettii hao wenye Elimu kubwa wanaona Nini Cha kufia, mfano mzuri angalia Elimu za wawakilishi wetu kwenye kilinge Cha taifa hapo jangwani DODOMA.

Wasomi asilimia kubwa wanaishia kwenye vikaango vya wajumbe na ukikuta msomi kapenya ujue kajiongeza upande wa pili kwanza.
 
Viongozi wengi wa waalimu ata wa wanaowakilisha mikoa ni waalimu wa shule za msingi sio jambo la kushangaa jambo la kushangaa ni mbunge kuishia darasa la 7 wakati anaenda bungeni kupitisha mikataba na sheria ambazk zina hitaji umakini sana kuzipitia
Hivi hii nchi ina watu makini wangapi?
 
CWT ni laana!!

Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?

Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Mara nyingi uongozi wa CWT unawekwa na inner core ya watawala ili kumuweka au kuwaweka watu wao wawasaidie kunyamazisha mafukuto.

Si unaona hata polisi wengi wanaotumwa kazi za kuvunja katiba na sheria elimu zao zinasawiri matendo yao
 
Viongozi wengi wa waalimu ata wa wanaowakilisha mikoa ni waalimu wa shule za msingi sio jambo la kushangaa jambo la kushangaa ni mbunge kuishia darasa la 7 wakati anaenda bungeni kupitisha mikataba na sheria ambazk zina hitaji umakini sana kuzipitia
Hao wasomi si wakashindane na hao wajinga kwny Sanduku la kura, au mlitaka na viti maalum vya wasomi kama wanawake ?

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Kupata vyeo Tanzania hii uwe fundi wa ushirikina ettii hao wenye Elimu kubwa wanaona Nini Cha kufia, mfano mzuri angalia Elimu za wawakilishi wetu kwenye kilinge Cha taifa hapo jangwani DODOMA. Wasomi asilimia kubwa wanaishia kwenye vikaango vya wajumbe na ukikuta msomi kapenya ujue kajiongeza upande wa pili kwanza.
Hao wasomi wakina chenge,kabudi,mdee,bulaya,mwigulu,nape,januar makamba wamelisaidia nini taifa? Bora babu yangu ambaye hakujua kusoma wala kuandika alikuwa mzalendo wa taifa lake hadi akatoa shamba lake kwa ajili wajenge shule na zahanati
 
CWT ni laana!!

Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?

Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Ufafanuzi tafadhali maana wengine hatuelewi kwenye hizo kada za ualimu madaraja yake yapoje, labda kwa kifupi inakuwaje maana barua inaonesha ni mwandamizi daraja A, si wengine tukiona mwandamizi ndio tunajua mbobezi

Labda tugusie kidogo madaraja ya ualimu yapoje walau kwa ufupi tu, utatusaidia wengi humu
 
Back
Top Bottom