Karne ya 21 Katibu Mkuu wa CWT alikuwa mwalimu wa Daraja la 3A?

Karne ya 21 Katibu Mkuu wa CWT alikuwa mwalimu wa Daraja la 3A?

Ni ushamba kuamini masters au PHd ndio uongozi; Dunia imebadilika kinachohitajika ni intelligence na creativity siyo masters

Wanaotumbuliwa kila siku wana masters ya darasani ila wanakosa masters ya uongozi na Utawala

Kama form four aliweza kuwaongoza masters means anawazidi maarifa. Roho za korosho wakaona wamrudishe kwenda kufundisha wakiamini ndio mwisho wa kupumua kwake kumbe kazi siyo riziki ; anaweza akapiga chini ualimu na akaingia kwenye siasa kisha akawa mbunge na hata waziri

Ogopeni kuzaliwa na bahati
 
Hao wasomi wakina chenge,kabudi,mdee,bulaya,mwigulu,nape,januar makamba wamelisaidia nini taifa? Bora babu yangu ambaye hakujua kusoma wala kuandika alikuwa mzalendo wa taifa lake hadi akatoa shamba lake kwa ajili wajenge shule na zahanati
Duh...NAPE na MAKAMBA!?
 
Viongozi wengi wa waalimu ata wa wanaowakilisha mikoa ni waalimu wa shule za msingi sio jambo la kushangaa jambo la kushangaa ni mbunge kuishia darasa la 7 wakati anaenda bungeni kupitisha mikataba na sheria ambazk zina hitaji umakini sana kuzipitia
Si ndio maana IGA ya bandari walisema ndiooooooo
 
Kulikuwa na sababu ya kukataa, anyway tuwaachie ccm mambo yso
Ndugu CWT kuna ulaji hujawahi ona dunia hiii sikia tu .....tafuta info zake humu ....kuna 2% kila mwalimu kwa kila mwezi ....acha tenders humo ndani kofia tshirt miamvuli khanga .....za mei mosi....sikia tuu...kuna walimu zaidi 300k ....
 
CWT ni laana!!

Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?

Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!

Unakuta ni mwizi mkubwa mwenye ukwasi balaa, Nchi hii ngumu sana
 
alifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Umeniteua sitaki, sasa kosa lake nini? Akafanye kazi ambayo hakuitaka? Huenda ndoto yake haijawahi kuwa ukuu wa wilaya.
Mbona hushangai wabunge wapitisha mikataba na sheria kuwa darasa la 7 tu?
 
alifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Huo uteuzi ulikuwa ni dharau na uzaririshaji kuliko hata hilo tangazo....unafuata upepo hujui yaliyomo.
 
Umeniteua sitaki, sasa kosa lake nini? Akafanye kazi ambayo hakuitaka? Huenda ndoto yake haijawahi kuwa ukuu wa wilaya.
Mbona hushangai wabunge wapitisha mikataba na sheria kuwa darasa la 7 tu?
Sasa kwani ugomvi ? na wao sasa kama Waajiri wamekataa ombi lake la kuongezewa ruhusa ya kuendelea kuhudumu CWT kwa awamu ya tatu. arudi darasani au aache kazi

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwani ugomvi ? na wao sasa kama Waajiri wamekataa ombi lake la kuongezewa ruhusa ya kuendelea kuhudumu CWT kwa awamu ya tatu. arudi darasani au aache kazi

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Atakuwa alilitegemea hilo maana hiyo sio kazi ya kudumu. No big deal about it. Kakataa kuonyesha kuwa sio kila mtu anataka kazi ya kuwa mwanasiasa
 
Back
Top Bottom