peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
- #61
Wewe.ni mpiga majungu, ungeanza kuelezea elimu yako kabla ya huyo mwalimu, ya matokeo yangu ya form four nilipata division four ya D 2 ya kiswahili na siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe.ni mpiga majungu, ungeanza kuelezea elimu yako kabla ya huyo mwalimu, ya matokeo yangu ya form four nilipata division four ya D 2 ya kiswahili na siasa.
Mbona masoud maswanya alikataa ukuu wa wilaya ya mbozi(2016) wakati wa JPM. Akaendelea kuwa meneja wa kampuni ya Tigo Kanda ya ziwa.alifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Muda mwingine ujinga wa mtu ni ngumu kujificha, kama wewe unayo hata hiyo stashahada au shahada basi haijakusaidia na pengine ndiyo zile za kununua,Hilo unalisema wewe, kama unafahamu hayo tueleze vizuri na ubandike matokeo yao hapa tuyaone
Babu yako Hana uzalendo wowote, ardhi Mali ya jamhuri aliirudisha Kwa wamiliki waifanyie kazi.Hao wasomi wakina chenge,kabudi,mdee,bulaya,mwigulu,nape,januar makamba wamelisaidia nini taifa? Bora babu yangu ambaye hakujua kusoma wala kuandika alikuwa mzalendo wa taifa lake hadi akatoa shamba lake kwa ajili wajenge shule na zahanati
Umepiga kwenye mshono mkuu na ndiyo chanzo cha upuuzi waoCWT 90% ya viongozi wake ngazi za juu ni walimu we shule ya Msingi na wengi Wana elimu ya stashahada kushuka chini
Aliirudisha kwa jamhuri kutoka kwenye umiliki wa nani?Babu yako Hana uzalendo wowote, ardhi Mali ya jamhuri aliirudisha Kwa wamiliki waifanyie kazi.
Ni ulimbukeni kuangalia elimu yake au grade yake ya kitaaluma badala ya agrissiveness yake, inherent ability,influence and confidence. Ana values kuliko hata mapropesa wengi wa nchi hii.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Kuwa na "master" au "doctorate" digrii hakukufanyi uwe Kiongozi bora! Uongozi wa kufundishwa na kuzaliwa nao ni vitu viwili tofauti. Uongozi unahitaji mtu anayejua - mawasiliano, mahusiano na utayari wake wa kujitoa katika jamii . Uongozi hautegemei akili yake ya vyeti.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Mchechu ana digrii moja tu ila Mwigulu ana PHD , kuwa Kiongozi ni kipaji na sio madarasa.CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Ile ni nafasi ya utawala siyo professional ndugu yangu . Mbona kuna maraisi wana degree moja na chini yao kuna maprof????CWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
Nyani Katema Bungo, Halafu Siyo Msimu Wa Maembe!!Nchi ya fitina, amekataa uteuzi sasa anadhalilishwa
Haina maslahKwann kakataa?
Ndio maana tunapenda katiba mpya kuondoa mamlaka za kifara kama hizo,wewe uneniteua kufanya kazi yako sio lazima kama najiona siwezialifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
JF Yenye Madini Tele Tele Hakuna Kuamkia Kwenye HohoHivyo vyeo vya kutegemea boss ameamkaje unajikuta kwenye kilimo cha hoho kama Ali Hapi.
Ujanja Mwingi Pale MCBIvi progress ya ile benki yao ikoje?
Mnaoongea nje ya utaratibu mnashangaza sana, kuna sehemu imeandikwa kuwa ukiteuliwa lazima ukubali? Na kuteuliwa na Mh. Rais ndiyo njia ya kufukuzwa huko CWT? Alafu mnajidai eti ni wasomi....kila wakati mnawazatu kukomoa watu siyo ustawi wa jamii kwa faida ya wengi.alifanyiwa staha ya kufukuzwa kistaarabu CWT akakataa, ulitaka Mamlaka ifanyaje ?…imemheshimu sana na kama ingekuwa zama za JPM halafu akatae heshma aliyopewa na Rais …
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
chuo gani kwa unavyofikilia kinawezatoa masters hujaelimika?? Hivi unafikiri masters ni kitu chepesiee??Una Masters sawa, hiyo ni certificate tu. Je umeelimika? Ukiwa umeelimika huwezi kusoteshwa na mtu. Jitafakari!
Ufafanuzi tafadhali maana wengine hatuelewi kwenye hizo kada za ualimu madaraja yake yapoje, labda kwa kifupi inakuwaje maana barua inaonesha ni mwandamizi daraja A, si wengine tukiona mwandamizi ndio tunajua mbobezi
Labda tugusie kidogo madaraja ya ualimu yapoje walau kwa ufupi tu, utatusaidia wengi humu