Wewe kagombee na hao wa la Saba uwashinde kwa kutumia elimu yako, kama huwezi kuwashinda Wajinga wajinga wa la Saba kwny uchaguzi unaweza ukayashinda matatizo ya watanzania ?95% ya members wa Congress pale US wana college degrees. 90% ya members wa House of Commons Uingereza wana college degrees.
Alafu kwetu tunaopokea misaada ya kujenga vyoo mtu anataka darasa la saba wawe wagombea. Haohao ndio wajadili mikataba ya madini, gesi, bandari na kupitisha sheria za uwekezaji na miradi.
Kila kitu kina standards. Mbona kwenye uchaguzi hawaruhusiwi watoto, wageni, wasiojua kusoma na kuandika na wanajeshi ili wananchi waamue wenyewe wanamchagua nani.
au wasomi mnataka mpate mseleleko wa viti maalum kama walemavu na wanawake?
Bunge letu lina graduate wengi tu wa kutosha, mbona kwny kujenga hoja na kujiamini huko huko Bungeni wanazidiwa kwa mbali tu na hao wa la saba?
inaonekana umekariri sana formal Education. kwa hiyo kwny mambo ya uwekezaji na biashara tumuamini Lecturer kwny ma PhD na ma Presentation Lukuki ya kibiashara wakati hana biashara hata ya kuuza pipi ili atupe uhalisia tuache kumuamini Jumanne Kishimba ambae hata Supermarket ya Kwanza nchini kuleta yeye miaka zaid ya 40 iliyopita ( Imalaseko Super market) wakati huo watu walikuwa wanakariri tu Supermarket darasani?
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app